Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hawa wadogo wanabana kweli ila crystal wanafunguka tutegemee mvua ya magoli sio kama Sunderland& wba.hongera kila blue wakikuuliza waambie mind the GAP
 
Screenshot_2016-12-15-08-12-00.jpg
Tunaongoza kwa point 40 anayefuatia ni Liver na Arsenal wana point 34 wote wawili, PLEASE MIND THE GAP,
CHELSEA siku hizi kila mechi ni sikukuu..teh! teh! Who is next? Foleni isogee tafadhali tunaendelea kutoa dose kwa kila aliye mbele yetu, wale mnaoumia kwa ushindi wa CHELSEA poleni sana....teh! teh.....!!!
 
sisi tumebakiza game nyepesi kuliko wenzetu city, asernal na liver. asernal bado na city na evarton, liver bado na city wakati city bado na liver na asernal , kwa hyo lazima wapunguzane point wao kwa wao
Kwa kuishiwa nguvu huku na tubao twako twa bahati huwezi mfunga yyt anayekuja kuanzia sasa
Usikimbie hapa Jumamosi kwa CL
Benteke hawezi kuacha,umeisha choka
Liverpool hamna mechi ambaye hawezi funga bao kuanzia 2
Kama tufungwe basi mpinzani afunge 3
Wewe huwezi tena funga bao zaidi ya 2
Everton na Man City namaliza mechi dakika 45 za kwanza
 
Kwa kuishiwa nguvu huku na tubao twako twa bahati huwezi mfunga yyt anayekuja kuanzia sasa
Usikimbie hapa Jumamosi kwa CL
Benteke hawezi kuacha,umeisha choka
Liverpool hamna mechi ambaye hawezi funga bao kuanzia 2
Kama tufungwe basi mpinzani afunge 3
Wewe huwezi tena funga bao zaidi ya 2
Everton na Man City namaliza mechi dakika 45 za kwanza
Haya maneno yako subiri uje uyaongee siku ya jmosi kama sijakosea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom