danjaboy
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 237
- 402
Anaitwa Bradley Lowery.. Ni shabiki wa kutupwa wa Sunderland.. Ana miaka mitano duniani na tayari madaktari wamethibitisha kuwa amebakiza miezi miwili tu kabla kansa haijakatiza pumzi zake na kuupeleka mwili wake futi 6 chini ya Ardhi...
Kuna kaburi liko wazi tayari likimsubiri Bradley..!
Kitu chake cha mwisho kabisa alichokiomba duniani ni zawadi ya kadi ya Krismasi.. kadi tu inamtosha kukifanya kifo chake kuwa na amani..
Everybody dies but not everyone has lived... Umeumia moyo wangu!!
Kuna kaburi liko wazi tayari likimsubiri Bradley..!
Kitu chake cha mwisho kabisa alichokiomba duniani ni zawadi ya kadi ya Krismasi.. kadi tu inamtosha kukifanya kifo chake kuwa na amani..
Everybody dies but not everyone has lived... Umeumia moyo wangu!!