Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mark my words akinaswa hazard na Pedro uwa mbadala ni Willian na anaingizwa fabregas ili kupiga pass ndefu zitazomkuta willian au Costa so kwa hali hiyo mpila unakua haukai mbele sababu wilian ni mpigaji ila si mpiga asist mzuri kifupi hawezi kumchezesha costa tokea pande yake na ndio maana mara nyingi anaingia nazo

Kma WHA imefungua macho makocha wengi kuhusu mfumo wenu sabu niliona walifanikiwa kumdhibit hazard na pedro wakaharibu kiungo yote nikaona costa anakuja kutafutia mipila kulia na Alifanikiwa kupata gori sabu ata jitihada za willian azikuzaa kitu kma unakumbuka..

Gori ufungwa kwa kosa lakini kama yule beki angekua conscialiny sizani kama costa angefanikisha azma yake

Ushauri wangu ni kwamba kwa mfumo ule conte hapaswi kua na KEY players yani pale anapaswa kuanzisha mashambulizi toka kwa yeyote Kati ya 7'11'8 na sio 7, 11 ila kwa mwendo ule wa hazard au Pedro haha tupo hapa maana... matic apate msaidizi wa namna yake kazi anayoifanya na mkata umeme ni kubwa sna

Mkata umeme he's too physical matic more of akili mchawi umri so wadau msijisahau.

Binafsi kwa sasa naangalia game za Chelsea kuliko.
Hayo yote nimeyaona ktk game yetu Na WBA Na cha msingi ni kwamba kocha anaona hayo madhaifu yote Na kuyafanyika kazi. So adui atakavyokuja ndio tutakavyocheza nae....
 
WBA kaonyesha Chelsea ni team ya kawaida tu tofauti na majigambo yenu hapa
Mtakiona cha mtema kuni mkija Anfield
Mbona hawajashinda tumechukua point 3 kirohoo safiii kabisa.
Wewe umepigwa na wale vitoto kabisa tena under 20 a.k.a kijana Ake
ukatoa drow na whu. Mechi mbili umechukua point 1 umefungwa magoli 6 umefunga magoli 5.
Chelsea mechi 2 tumechukua point 6, tumefunga magoli 4 na kufungwa goli 1.
Who is the best team between chelsea and liverfool?
 
Arsenal wamepigwa na Everton, ni raha iliyoje!
hili kombe tushindwe wenyewe tu. Ukiangalia ratiba yetu iliyobaki ukifananisha na ratiba iliyopita siye tuna mteremko wa kitonga tushindwe wenyewe.
Wapinzani wetu wote ratiba zao ngumu tukizichanga vizuri kalata zetu ubingwa unaweza kuwa wetu kabla round ya pili haijaanza.
 
all in all we are on fire chelsea mwaka huu hakuna ubishi wa hilo
pamoja na kuwa on fire lakini tunahitaji nguvu ya ziada sana kuweza kushinda hizi mechi nne zilizobaki ukiangalia mechi za karibuni za chelsea ushindi wetu ni mwembamba kitu kinachoashiria picha mbaya mbeleni. Lakini faida yetu kubwa ni mechi tulizobaki nazo ktk round ya kwanza ni rahisi ukifananisha na za washindani wetu.
 
Kwakweli mechi ya leo inaweza kuwa kwikwi ila habari nzuri injury za sundreland zipo za kutosha tuu hasa viungo wengi ni wagonjwa so tunaweza chapa huyo dogo
 
Kaka usijisifie mfumo ambao kila kukicha watu wanakujia na suruhisho ya tatizo sawa bado arsenal ila nini kinatokea timu kama WHA wanapofanikiwa kuwakamata play maker kama Harzad na Pedro worse kiungo kabaji inapopotea kabisa???

Nimeufatilia sana huu mfumo I swear mtakutana na wabovu wabovu watawatandika haswaa

Usipende sana tazama mpila kinaga ubaga kaka we ni moja kati ya waelewa humu na yule jamaa anaitwa Mentor
Nilisema bado Gunners ukaja speed sasa umeona Mwenye tayari umetuachia nafasi sisi tupumue Na tucheze bila presha Na kwa lengo la ushindi tu.


Conte ameshaona msimamo Wa lingi ulivyo Na kilicho mtokea Gunners amekiona sasa Leo ni extend hiyo gape kwa nguvu sn tena Leo sunderland atakula nyingi sn Ata km atacheza vipi.
 
pamoja na kuwa on fire lakini tunahitaji nguvu ya ziada sana kuweza kushinda hizi mechi nne zilizobaki ukiangalia mechi za karibuni za chelsea ushindi wetu ni mwembamba kitu kinachoashiria picha mbaya mbeleni. Lakini faida yetu kubwa ni mechi tulizobaki nazo ktk round ya kwanza ni rahisi ukifananisha na za washindani wetu.
Conte hufanyia kz alichokiona kila baada ya game. Sunderland wanaenda kua attacked mwanzo mwisho Ata watumie mbinu gani yani watakambizwa Leo vibaya sn...... Na ushindi Leo ni lazima kwasababu Conte ameona msimamo Wa ligi Na kile alichokifanya Gunners amekiona sasa ili kujiweka ktk nafasi nzuri Leo lazima apige mtu alafu January fixtures yetu ni ngumu sn. Maana ndani ya Jan tuna game kubwa 4 tuna Spurs mapema tu na tuna LFC, Leicester Na Arsenal. So ili kuwa acha hawa lazima hii December tufanye vzr then ikifika jan unakua umewaacha mbali Ata km unataka nao sare tu Basi inakua pouwa.
 
Nilisema bado Gunners ukaja speed sasa umeona Mwenye tayari umetuachia nafasi sisi tupumue Na tucheze bila presha Na kwa lengo la ushindi tu.


Conte ameshaona msimamo Wa lingi ulivyo Na kilicho mtokea Gunners amekiona sasa Leo ni extend hiyo gape kwa nguvu sn tena Leo sunderland atakula nyingi sn Ata km atacheza vipi.
Leo hakuna kubweteka eti kwa vile Gunners wamechapwa

Ni wakati wa kutengeneza gep kubwa sana kwasababu hatujui huko mbele itakuwaje

Kila mechi fainal....!
 
Leo hakuna kubweteka eti kwa vile Gunners wamechapwa

Ni wakati wa kutengeneza gep kubwa sana kwasababu hatujui huko mbele itakuwaje

Kila mechi fainal....!
Ila tutegemee mchezo kua mgumu sn kwasababu hawa Sunderland ndio wanaburuza mkia sasa wako Na hali mbaya sn na wao ili waokoke huko chini lazima waanze kupambana kufa Na kupona Na uzuri Conte Na benchi LA ufundi wanaijua hii hali vzr sn......
 
Conte hufanyia kz alichokiona kila baada ya game. Sunderland wanaenda kua attacked mwanzo mwisho Ata watumie mbinu gani yani watakambizwa Leo vibaya sn...... Na ushindi Leo ni lazima kwasababu Conte ameona msimamo Wa ligi Na kile alichokifanya Gunners amekiona sasa ili kujiweka ktk nafasi nzuri Leo lazima apige mtu alafu January fixtures yetu ni ngumu sn. Maana ndani ya Jan tuna game kubwa 4 tuna Spurs mapema tu na tuna LFC, Leicester Na Arsenal. So ili kuwa acha hawa lazima hii December tufanye vzr then ikifika jan unakua umewaacha mbali Ata km unataka nao sare tu Basi inakua pouwa.
Big up. U said very well.
 
Leo vuta ni kuvute.......point 3 kupiganiwa kati ya sunderland na chelsea. Tukishinda leo majirani wetu watanza kutuchungulia chelsea waleeeeee........!!! So naamini gemu litakuwa ngumu but i hope we will take 3 points ahead sunderland. We dont have any injured so far. Team iko pouwa kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom