Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Yaani man city vs chelsea#ndo ilikuwa kama el-classico# na elclassico barca vs madrid ilikua kama league.
Mkuu hapo umenena maana man city vs chelsea ilikuwa na high tempo pia timu zilikuwa zinajibizana kushambulia sio elclasico watu wanahangaika kumliki mpira ila kilichovutia el-clasico ni wachezaji walivyokuwa wanafanyiana humiliation
 
Hawakutupeleka puta kwa kuwa walikuwa bora, mostly kwa kuwa mtu kama Hazard hakuwa in the game...ups n downs. Kante pia alicheza sawa standard but not his best game. Usiwape sifa sana kwa kweli.


Na bado hata game ya weekend tutaendelea kusema, "Man City lazima ale nyingi sana. Tena I dare say kwa man city tunaondoka na clean sheet."

Tabia yao ya kuruhusu magoli awali kisha kujifanya wanarudisha kwetu haitoapply...hapo ndipo kilio na kusaga meno vitasikika katika jiji la Manchester!!!
Hakika wewe ni mentor [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Big match!!! ila lazima chelsea tujitahidi kwa kutumia udhaifu ya beki ya city ktk kutengeneza nafac bila kusahau ubora wa kikosi cha gurdiola ktk kiungo na forward line!!! ila Chelsea kwa sasa tupo on fire kila idara;
Uchambuzi mfupi lakini ndicho tulichokiona mwanzo mwisho, brilliant analysis
 
Kwenye neno Quick reply kushoto kuna kialama cha duara ukigusa apo zitakuja alama mbalimbali nadhani alama ya picha unaijua...utapload picha kirahisi ilimradi tu iwe kwenye .jpg format
Ahsante. Pamoja sana kaka chelsea 4reva
 
Guardiola kasifiwa kuwa anajua tactics kalewa sifa eti kajifanya kupanga 3-4-3.

Ananikumbusha Mauricio Poccetino last weekend na Tottenham yake. Ukitupangia 3-4-3 jiandae kufungwa tu!!!
Jamaa aliiga akajikuta anaangukia pua. Gadiola bana
1c79a29eca13f5930c8c747bc1b7f1a1.jpg
 
Mkuu hapo umenena maana man city vs chelsea ilikuwa na high tempo pia timu zilikuwa zinajibizana kushambulia sio elclasico watu wanahangaika kumliki mpira ila kilichovutia el-clasico ni wachezaji walivyokuwa wanafanyiana humiliation
Kweli mkuu yaani mvuto pale haukuwepo tena maana barca ndo walicheza wao tu hapakuwa na zile piga nikupige
 
*MATCH REVIEW*

Man city 1 v Chelsea 3

Mifumo ya timu zote 2 ni 3 4 3,kama utakumbuka mida ya hii game kuanza niliuliza we mdau wa [emoji460] unafikiri ni kwann CONTE kamuanzisha mtaalamu FAB

kumbuka Matic hakuwa injury n Hata bench hakuwepo

Sababu kuu n ukiwa Kocha n lazima uwe mbunifu ,ofcoz hata ktk maisha ya kawaida nadhani Hata ktk idara yeyote Ili kufikia azma/lengo zuri,kuanzishwa kwa FAB lengo kuu n kwamba yy n original playmaker n ana uwezo mkubwa wa kuchezesha timu n kupiga long ball kama tulivyoona kwa COSTA goli la 1 kwa sababu Pep n muungwana wa soka la pass nyingi kama namna flani nilianza kuona kufanikiwa kwa hii plan b4 Hata game kuanza coz KANTE atatimiza duty zake bila kutegea n FAB hali kadhalika vilevile n ofcoz FAB kacheza Soka zur xna Leo coordination nzur pale kati

CONTE ni muungwana wa KUJILINDA kama da special 1,lkn yeye kakubali kubadilika kulingna n nyakatiiii

Na lile goal la CAHIL n pressure ya kushambuliwa huwa yanatokea

Costa anazidi kuthibitisha yeye n strika bora kwa sasa EPL n Ulaya kiujumla,goli lake la 11 mcm huu + partinership nzr n FAB

GUARDIOLA alipoteleza nionavyo Mimi n kumuacha TOURE nje hii game ilikuwa inamuhitaji yeye tumeona CTY wamekosa nafasi nyingi za magoli kitu ambacho kimewapelekea kipogo kitakatifu Nyumbani kwao coz TOURE ana uzoefu mkubwa ktk big match EPL kuliko kina Sane n pia uwezo mkubwa wa kuposses mpira,kubuni nafas n kufunga vilevile kaingia timu IPO kwenye pressure teyar has nothing to do

Kamari za CONTE zimetiki zote Leo,FAB & WILLIAN[emoji122][emoji460] moja ya principle kubwa xna ktk [emoji460] n Substitution for a correct man

Poor discipline iliyoonyeshwa n AGUERO & FERNANDINHO cjaipenda wao n wachezaji wakubwa mihemuko ya nini,Kadi ya Aguero n sahihi kabisa coz Alikuwa anamvunja LUIZ pale[emoji134]‍♂[emoji460]

For me this result is belong to Pep coz he fail on tactics

*Hongereni Bluz Kuleni upepo kileleni tukizidi kuelekea X- mass,wapinzani Sumu hamna*[emoji3][emoji460]
 
Chelsea hii jamani hadi mm mshabiki wake ninaiogopa
Wakati wa Mourinho walikuwa walalamika kuwa Chelsea inapaki basi.. mchezo hauvutii, hivyo hawafungiki

Kwa Chelsea ya Conte imewaachia mabeki 3 napo wanalalamika mfumo mgumu hadi wanataka kuiga mfumo 3-4-3 wa Chelsea, sijui wanataka mfumo gani.!?

OK.. msimu ujao tutabakisha mabeki 2 ili makocha wa wafurahi..

Bwihi..! Bwihi..!
 
*MATCH REVIEW*

Man city 1 v Chelsea 3

Mifumo ya timu zote 2 ni 3 4 3,kama utakumbuka mida ya hii game kuanza niliuliza we mdau wa [emoji460] unafikiri ni kwann CONTE kamuanzisha mtaalamu FAB

kumbuka Matic hakuwa injury n Hata bench hakuwepo

Sababu kuu n ukiwa Kocha n lazima uwe mbunifu ,ofcoz hata ktk maisha ya kawaida nadhani Hata ktk idara yeyote Ili kufikia azma/lengo zuri,kuanzishwa kwa FAB lengo kuu n kwamba yy n original playmaker n ana uwezo mkubwa wa kuchezesha timu n kupiga long ball kama tulivyoona kwa COSTA goli la 1 kwa sababu Pep n muungwana wa soka la pass nyingi kama namna flani nilianza kuona kufanikiwa kwa hii plan b4 Hata game kuanza coz KANTE atatimiza duty zake bila kutegea n FAB hali kadhalika vilevile n ofcoz FAB kacheza Soka zur xna Leo coordination nzur pale kati

CONTE ni muungwana wa KUJILINDA kama da special 1,lkn yeye kakubali kubadilika kulingna n nyakatiiii

Na lile goal la CAHIL n pressure ya kushambuliwa huwa yanatokea

Costa anazidi kuthibitisha yeye n strika bora kwa sasa EPL n Ulaya kiujumla,goli lake la 11 mcm huu + partinership nzr n FAB

GUARDIOLA alipoteleza nionavyo Mimi n kumuacha TOURE nje hii game ilikuwa inamuhitaji yeye tumeona CTY wamekosa nafasi nyingi za magoli kitu ambacho kimewapelekea kipogo kitakatifu Nyumbani kwao coz TOURE ana uzoefu mkubwa ktk big match EPL kuliko kina Sane n pia uwezo mkubwa wa kuposses mpira,kubuni nafas n kufunga vilevile kaingia timu IPO kwenye pressure teyar has nothing to do

Kamari za CONTE zimetiki zote Leo,FAB & WILLIAN[emoji122][emoji460] moja ya principle kubwa xna ktk [emoji460] n Substitution for a correct man

Poor discipline iliyoonyeshwa n AGUERO & FERNANDINHO cjaipenda wao n wachezaji wakubwa mihemuko ya nini,Kadi ya Aguero n sahihi kabisa coz Alikuwa anamvunja LUIZ pale[emoji134]‍♂[emoji460]

For me this result is belong to Pep coz he fail on tactics

*Hongereni Bluz Kuleni upepo kileleni tukizidi kuelekea X- mass,wapinzani Sumu hamna*[emoji3][emoji460]
Poor Fernandinho
 
Zouma hajawa fit enough kucheza ligi kuu
Wachezaji wote wako fiti kuanza. Kocha anaangalia ni adui gani anakutana nae kisha amuweke nani?

Rejea kupangwa kwa Faby badala ya Matic huku Matic akiwa mzima wala si majeruhi Na kwenye Sub hakuwepo. Faby alipangwa kwa kz maalum. Hapo ndio utaona ule mfumo Wa 3-4-3 unahitaji uwezo Wa wachezaji na si kujipangia tu. Lazima uweke mchezaji Mwenye kitu Fulani Na hii siri Conte anaijua ndio maana haachi kusema kila akiwatizama wachezaji wake anaona kuna kitu kinakuja.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom