Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Katika siku nimefurahi leo pia naiweka kwenye kumbukumbu zangu! Chelsea kamchapa "Man City" nyumbani kwake 3-1!
Wow! Nimefurahi sana. Tena goli walilopata Man City lilikuwa la kujifunga, na magoli yote 3 tumeyapata kipindi cha pili.
Inapendeza sana kumkalisha chini mtu kama "Pep Guardiola". Fabregas ! What a pass man!
 
Ndugu wanachelsea naombeni mnielekeze namna ya kukopi picha kutoka galley kubandika jamii forum nimepata picha nzuri nataka kushere
Kwenye neno Quick reply kushoto kuna kialama cha duara ukigusa apo zitakuja alama mbalimbali nadhani alama ya picha unaijua...utapload picha kirahisi ilimradi tu iwe kwenye .jpg format
 
Hao ndo wanafuata
 

Attachments

  • 1480781383893.png
    1480781383893.png
    131.1 KB · Views: 28
Baada ya kumsambaza everton kuna mchambuzi mmoja wa sky sport alisema haoni timu hata moja katika zilizo salia kukamilisha mzunguko inayoweza kupata droo kutoka kwa chelsea zote nikipigo

Nilikuwa naisubiri leo na mimi niungane nae kuamini alichokisema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom