Son of Gamba
JF-Expert Member
- Oct 26, 2012
- 4,718
- 6,979
Katika siku nimefurahi leo pia naiweka kwenye kumbukumbu zangu! Chelsea kamchapa "Man City" nyumbani kwake 3-1!
Wow! Nimefurahi sana. Tena goli walilopata Man City lilikuwa la kujifunga, na magoli yote 3 tumeyapata kipindi cha pili.
Inapendeza sana kumkalisha chini mtu kama "Pep Guardiola". Fabregas ! What a pass man!
Wow! Nimefurahi sana. Tena goli walilopata Man City lilikuwa la kujifunga, na magoli yote 3 tumeyapata kipindi cha pili.
Inapendeza sana kumkalisha chini mtu kama "Pep Guardiola". Fabregas ! What a pass man!
mie pia.