everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,032
Na Mimi si nilibaki home Na wewe
Nilibaki Mimi msagasumu mwenyewe Hata Mentor alikimbia ...Na Mimi si nilibaki home Na wewe
Nilibaki Mimi msagasumu mwenyewe Hata Mentor alikimbia ...Nalazima atachukia tuuKwa mara ya kwanza v. Moses anaingia katika kinyang'anyiro cha kuwania mchezaji bora wa mwezi
Kabla ya kuni-quote na kuandika uliyoandika unge-refer the context of my previous contributions in the discussion regarding Chel vs Spurs match! I always respect London derbies, all are great teams and Chelsea haijawahi kufunga timu ya London kirahisi tangu nianze kutazama mpira.
OUR NEXT VICTIM IS MAN CITY, STAY TUNED...Hayo ni maneno ya mihemko ya mashabiki which I normally don't entertain but I can tell you that for Conte and Chelsea players it's a different story likewise Man City!
Kocha wao pochetino mjanja alikuja na 4-1-4-1 akijua hata kama atafungwa sio goal nyingi
Ndio maana dk 40 za kwanza walikua vizuri sana
Wale waliokuwa wanasema Spurs watapigwa goli 7, 4, nk; ooh historia ya Chelsea tangu 1990, oooh Rose hayumo! Nawauliza, mliona walivyotupeleka puta? Hiyo ndiyo EPL, hakuna cha mtoto wala mkubwa ukizubaa unapigwa!
M.Alonso yupo vizuri sana mkuu, huyo kennedy aje kama sub ya alonso incase of any injuries if he faces
Kwa mara ya kwanza v. Moses anaingia katika kinyang'anyiro cha kuwania mchezaji bora wa mwezi
Mechi ya city na chelsea ndoitaamua nani player of the month kati ya aguero na mosesPFA Fans’ Player of the Month (November):
Gylfi Sigurdsson (Swansea City)
Matt Phillips (WBA)
Nordin Amrabat (Watford)
Sergio Aguero (Manchester City)
Victor Anichebe (Sunderland)
Victor Moses (Chelsea)
Mechi ya city na chelsea ndoitaamua nani player of the month kati ya aguero na moses
![]()
Associação Chapecoense de Futebol (ACF)
Ni Klabu ya mpira ya nchini Brazil ambayo ilikuwa inaelekea kwenye fainali za kombe la mpira kwa klabu za amerika ya kusini. Ni timu iliyofikia mafinikio hayo baada ya struggle ya muda mrefu - unaweza kuifananisha na Leicester ya mwaka jana au RB Leipzig ya msimu huu kwenye Bundesliga.
Walikuwa wakielekea Colombia kwenye mechi hiyo ambapo Jumatatu hii ndege waliyokuwa wamepakia ikiwa na watu 77 jumla ilianguka na watu 71 kufariki; wachezaji watatu, wahudumu wa ndege wawili na mwandishi wa habari mmoja ndio waliopona.
Huu ni msiba mkubwa kwenye ulimwengu wa mpira wa miguu unakumbusha machungu ya timu ya Zambia na nyingine zilizotokea kabla ya hii.
duhhh!! So sad