Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Sijui tutafungwa lini? Nimemiss kufungwa maana raha za ushindi zinanifanya nazidi kuwa kibonge.
Klop na Wenger wanashukuru mechi zao zilipangwa kabla MASTER CONTE hajajipanga vizuri...kama ni zile ndondi zetu za utoto wale mabwana walimpiga CONTE wakati akivua shati wao wakampa za USO.
City hawakuwa makini kwenye umaliziaji...De Bryune anakusa goli ndani ya 3.
Mfumo uliwabana sana 3.4.3 huwezi kucheza ukiwa na wing backs UROJO kama SANE na NAVAS.

Gundgan hawezi physical battle na NG'OLO so Gignel Yahaya wa Mzee TOURE alitakiwa kuanza .

Kwangu mimi MAN OF MATCH alikuwa DAVID LUIZ 'The Geezer' maana ile shughuli ya jana angekuwa KAKA MKUBWA JT army leader tungesema mengine.
 
Sijui tutafungwa lini? Nimemiss kufungwa maana raha za ushindi zinanifanya nazidi kuwa kibonge.
Klop na Wenger wanashukuru mechi zao zilipangwa kabla MASTER CONTE hajajipanga vizuri...kama ni zile ndondi zetu za utoto wale mabwana walimpiga CONTE wakati akivua shati wao wakampa za USO.
City hawakuwa makini kwenye umaliziaji...De Bryune anakusa goli ndani ya 3.
Mfumo uliwabana sana 3.4.3 huwezi kucheza ukiwa na wing backs UROJO kama SANE na NAVAS.

Gundgan hawezi physical battle na NG'OLO so Gignel Yahaya wa Mzee TOURE alitakiwa kuanza .

Kwangu mimi MAN OF MATCH alikuwa DAVID LUIZ 'The Geezer' maana ile shughuli ya jana angekuwa KAKA MKUBWA JT army leader tungesema mengine.
Msichoke kushinda kila mechi.. Ha ha ha
 
Chelsea v West Bromwich Albion

13/12/2016 19:45 Sunderland v Chelsea

17/12/2016 15:00 Crystal Palace v Chelsea

26/12/2016 15:00 Chelsea v A.F.C. Bournemouth

31/12/2016 15:00 Chelsea v Stoke City
 
Angekua JT yupo Jana angelala hoi Na angekua majeruhi miezi miwili. Maana ilikua shughuli pevu.

Ila kuna dogo mmoja anaitwa Ola Aina ni right back mmoja mzuri sn. Yani ukiwa nje Na Ivanovic Na Ola alafu ndani ukawa Na Cahill Luiz Na Azpi huna presha. Achilia mbali Moses Na Alonso
 
*MATCH REVIEW*

Man city 1 v Chelsea 3

Mifumo ya timu zote 2 ni 3 4 3,kama utakumbuka mida ya hii game kuanza niliuliza we mdau wa [emoji460] unafikiri ni kwann CONTE kamuanzisha mtaalamu FAB

kumbuka Matic hakuwa injury n Hata bench hakuwepo

Sababu kuu n ukiwa Kocha n lazima uwe mbunifu ,ofcoz hata ktk maisha ya kawaida nadhani Hata ktk idara yeyote Ili kufikia azma/lengo zuri,kuanzishwa kwa FAB lengo kuu n kwamba yy n original playmaker n ana uwezo mkubwa wa kuchezesha timu n kupiga long ball kama tulivyoona kwa COSTA goli la 1 kwa sababu Pep n muungwana wa soka la pass nyingi kama namna flani nilianza kuona kufanikiwa kwa hii plan b4 Hata game kuanza coz KANTE atatimiza duty zake bila kutegea n FAB hali kadhalika vilevile n ofcoz FAB kacheza Soka zur xna Leo coordination nzur pale kati

CONTE ni muungwana wa KUJILINDA kama da special 1,lkn yeye kakubali kubadilika kulingna n nyakatiiii

Na lile goal la CAHIL n pressure ya kushambuliwa huwa yanatokea

Costa anazidi kuthibitisha yeye n strika bora kwa sasa EPL n Ulaya kiujumla,goli lake la 11 mcm huu + partinership nzr n FAB

GUARDIOLA alipoteleza nionavyo Mimi n kumuacha TOURE nje hii game ilikuwa inamuhitaji yeye tumeona CTY wamekosa nafasi nyingi za magoli kitu ambacho kimewapelekea kipogo kitakatifu Nyumbani kwao coz TOURE ana uzoefu mkubwa ktk big match EPL kuliko kina Sane n pia uwezo mkubwa wa kuposses mpira,kubuni nafas n kufunga vilevile kaingia timu IPO kwenye pressure teyar has nothing to do

Kamari za CONTE zimetiki zote Leo,FAB & WILLIAN[emoji122][emoji460] moja ya principle kubwa xna ktk [emoji460] n Substitution for a correct man

Poor discipline iliyoonyeshwa n AGUERO & FERNANDINHO cjaipenda wao n wachezaji wakubwa mihemuko ya nini,Kadi ya Aguero n sahihi kabisa coz Alikuwa anamvunja LUIZ pale[emoji134]‍♂[emoji460]

For me this result is belong to Pep coz he fail on tactics

*Hongereni Bluz Kuleni upepo kileleni tukizidi kuelekea X- mass,wapinzani Sumu hamna*[emoji3][emoji460]
Mkuu, hapo kwa yaya toure umebugi, yaya toure hana kasi asingeweza kuendana na game ya jana, sane kacheza vizuri sana hadi mosses alizidiwa, huoni sane alivyotoka ndo sisi chelsea tukarudi kwenye reli.
 
Gadiola anajidai kujua soka, eti alipokuja UK hapa alikuwa anawaza kupata taabu ya kuendesha gari sasa nafikiri akili itamkaa sawa na kuacha ubaguzi wake kwa yaya. Chelsea all the way up, go go goooo
 
Wachezaji wote wako fiti kuanza. Kocha anaangalia ni adui gani anakutana nae kisha amuweke nani?

Rejea kupangwa kwa Faby badala ya Matic huku Matic akiwa mzima wala si majeruhi Na kwenye Sub hakuwepo. Faby alipangwa kwa kz maalum. Hapo ndio utaona ule mfumo Wa 3-4-3 unahitaji uwezo Wa wachezaji na si kujipangia tu. Lazima uweke mchezaji Mwenye kitu Fulani Na hii siri Conte anaijua ndio maana haachi kusema kila akiwatizama wachezaji wake anaona kuna kitu kinakuja.
Hapana Matic aliumia kwenye mazoezi asingeweza kuachwa nje.. kama uliangalia kuna kipindi tulishambuliwa sana sabab ya kutokuwepo matic..
Kazi ya matic ilibd ifanywe na Kante pekee yake jana.
Matic hawez kuachwa kwa mechi za kutumia nguvu kama ya jana.
 
Hehehehehh pumbavuuuuuu aseno mmerudi nafasi yenu ya 4 mliyoizoea[emoji12] nasi tuko kwenye nafasi yetu tuliyoizoea ..

Soon tutamnunua hadi wenger[emoji16]

Dah! Tabia huwa hazibadiliki khe khe khe khekhe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, unaweza kumpa mtu pesa za kutosha kuishi maisha bora lakini baado ataendelea kuishi kama kuku au ng'ombe kwenye zizi.
 
Sijui tutafungwa lini? Nimemiss kufungwa maana raha za ushindi zinanifanya nazidi kuwa kibonge.
Klop na Wenger wanashukuru mechi zao zilipangwa kabla MASTER CONTE hajajipanga vizuri...kama ni zile ndondi zetu za utoto wale mabwana walimpiga CONTE wakati akivua shati wao wakampa za USO.
City hawakuwa makini kwenye umaliziaji...De Bryune anakusa goli ndani ya 3.
Mfumo uliwabana sana 3.4.3 huwezi kucheza ukiwa na wing backs UROJO kama SANE na NAVAS.

Gundgan hawezi physical battle na NG'OLO so Gignel Yahaya wa Mzee TOURE alitakiwa kuanza .

Kwangu mimi MAN OF MATCH alikuwa DAVID LUIZ 'The Geezer' maana ile shughuli ya jana angekuwa KAKA MKUBWA JT army leader tungesema mengine.
Daaaaaa umenifurahisha sana. Eti umemisi kufungwa
2e3aad6e7b89633ed10b881be51f31fc.jpg
 
Bado nampa nafasi Pedro kuanza kikosi cha kwanza kuliko Willian kwa sabab ya ujanjanja wake anapokuwa karib na lango la timu pinzani
Hata gardiola alisema kuhusu hiki kitu kabla ya mechi na alidiriki kumuombea asicheze vizuri ili asiwafunge city bahati mbaya namba 22 ikawatolea uvivu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom