Yomakon
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 638
- 680
Hata mimi naona maamuzi yaliobaki ni kuamua unashinfa goli ngapi kwa kila gemuNimeangalia fixtures zijazo za Chelsea, yaani wanaweza kamua kama sita mfululizo!
Hata mimi naona maamuzi yaliobaki ni kuamua unashinfa goli ngapi kwa kila gemuNimeangalia fixtures zijazo za Chelsea, yaani wanaweza kamua kama sita mfululizo!
Ni kweli mkuu.Kama wewe hauwaogopi Chelsea basi unaweza kuwa bora kuliko wao.... Chelsea Kila siku wanaendelea kuimarika.... Wamewaacha city wachukue focus ya mchezo wao wakachukua focus ya goal...... Itafika siku kucheza na chelsea inabidi ukabe zaidi kuliko kushambulia....
Chelsea amemaliza Kila kitu Chelsea amejua jinsi ya kuumaliza mchezo..... Kuna vitu vya kujifunza kwa Chelsea wewe mimi na makocha wetu.
Guardiola alianza kufeli kwenye 3:4:3 yake kabla hajafelishwa na 3:4:3 ya Conte.......
Namaanisha toka ahanze kutumia 3-4-3yaani, hawataki kusema mechi 11 wamepoteza moja, wanasema mechi nane hatujapoteza
Ya chelsea mwachie chelsea ukiiga unaramba karata dume ....Guardiola kasifiwa kuwa anajua tactics kalewa sifa eti kajifanya kupanga 3-4-3.
Ananikumbusha Mauricio Poccetino last weekend na Tottenham yake. Ukitupangia 3-4-3 jiandae kufungwa tu!!!
January na February next year ndio kutakua na fixtures ngumu kidogo. Maana kutakua na uso kwa uso na Spurs, Leicester, Arsenal na Liverpool na kuna vimchekea chekea kidogo hapo tena kwahiyo hiyo ikipita salama ubingwa mweupe!Nimeangalia fixtures zijazo za Chelsea, yaani wanaweza kamua kama sita mfululizo!
Ni mara ya kwanza wamekutana wakiwa ma managers na Conte kaibuka mbabe!Guardiola kasifiwa kuwa anajua tactics kalewa sifa eti kajifanya kupanga 3-4-3.
Ananikumbusha Mauricio Poccetino last weekend na Tottenham yake. Ukitupangia 3-4-3 jiandae kufungwa tu!!!
Hata mimi naona maamuzi yaliobaki ni kuamua unashinfa goli ngapi kwa kila gemu
Ndivyo ilivyotokeaCity wana beki mbovu sana, counter chelsea wanazopiga ni za uhakika, kila counter chelsea walizopga zimezaa goli........
Kubadili mfumo ghafla ambao wachezaji hawajauzowea ili ukabiliane na CHELSEA ni sawa na kuijaribu SUTI mpya siku ya harusi,ikiwa sio size yako ndio hakuna tena muda wa kuirekebisha...Ni kweli mkuu.
Alafu hawa makocha wengine waoga tu. Yani wao wakiwa wanakutana na Chelsea inawalazimu wabadili mifumo yao ya awali na kutrain mfumo ili kukabiliana na Chelsea. Hii ni shida kwao. Nimeona Spurs nao walikuja na mfumo mwingine na Leo hii city kaka kwa style hiyo hiyo matokeo Yake wamekula kichapo.
Kitu nilichokiona Leo vijana Wa Conte Moses na Alonso walikua hawapandi sn kwasababu ya kuweka ulinzi mkubwa na wakawa wanavizia nafasi muhimu na nzuri tena wakitumia uwezo binafsi Wa wachezaji kuwaadhibu hao city.
Ni hatari sn.....
Aah! hapo nimekusoma mkuu!Namaanisha toka ahanze kutumia 3-4-3
Hehehehehh pumbavuuuuuu aseno mmerudi nafasi yenu ya 4 mliyoizoea[emoji12] nasi tuko kwenye nafasi yetu tuliyoizoea ..View attachment 442413
Hongereni kwa kuwachapa Mancs, khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee timu zinazonunua games leo walikuwa wanashndana nani ana donge kubwa khe khe khe keh kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee kazi kwei kwei .... ... Bring them on!
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji106] [emoji106] [emoji106]Katika siku nimefurahi leo pia naiweka kwenye kumbukumbu zangu! Chelsea kamchapa "Man City" nyumbani kwake 3-1!
Wow! Nimefurahi sana. Tena goli walilopata Man City lilikuwa la kujifunga, na magoli yote 3 tumeyapata kipindi cha pili.
Inapendeza sana kumkalisha chini mtu kama "Pep Guardiola". Fabregas ! What a pass man!
born hiyo avatar umetisha yaani umemweka SAINT GAUCHO[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji106] [emoji106] [emoji106]