sio kweli mkuu, sema waliopangwa walishindwa kucheza according to game planJana Conte alilazimisha kupanga wachezaji ambao hata hawakuendana na mfumo mabeki wamekuwa wengi kuliko viungo washambuliaji sasa sijui magoli yangepatikana vipi kama alikuwa anabahatisha vile
Nirudishie chenjiiiiiii umekuwa Nabii wa uongo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] BTW poyeeeeeeeeeee......uchijali kombe lenyewe la kuku hilo[emoji3]Hahahah ..sijui hii niifananishe na nini? Yani kidonge cha panadol ukipate sukari!
Man city ana shine kwao Jumatano huo ndo ukweli!
Cc: mrs. mcharo everlenk
Naomba unirudishie chenjiiiii pleaseeeeeeTeh! Teh! Mkuu unaonekana wewe ni hodari sana na unafaa kuuguza Mgonjwa! Man u hachomoki kwa Man city,ushindi wake hapo ni draw tu nayo ngumu kuipata.
tukiwauliza wamejibu, na kutokana na majibu yao mmesha wafunga wagonga nyundo nne mbiliWAULIZE MAN U kilichiwapata cku zile.
We have lost a Battle, we will win the war. Aluta Continua, Victory Ascerta!Msiba darajani...poleni sana! Such is soccer wakuu.
Hahahaaa! Naona umejipoza machungu kiasi,hongera sana kwa ushindi mwembamba.Naomba unirudishie chenjiiiii pleaseeeeee
Mwembamba?? Hahahaha Win is Win.Hahahaaa! Naona umejipoza machungu kiasi,hongera sana kwa ushindi mwembamba.
Jana kabla ya mechi kuna jamaa humu alisema hao madogo experience hawana lakini wengine wakasema madogo wako vizuri.Conte, na kuna somo la kujifunza kuhusu waliopangwa first eleven leo..
KTBFFH
Jana kabla ya mechi kuna jamaa humu alisema hao madogo experience hawana lakini wengine wakasema madogo wako vizuri.
Huko nyuma niliwahi kusema kwamba London derby siyo lelemama, yeyote akifanya mzaha anapigwa.
Conte kupanga wale madogo first 11 ni mzaha. Nimefurahi kwamba tumepigwa, nina uhakika kuna kitu Conte amejifunza!
Uzoefu ni kitu kizuri
Haiwezekani kwenye london derby unachezesha madogo ambao naamini uzoefu wa derby hawana
Sikushangaa sisi kufungwa kabisa
cherehani???Conte fundi cherehani yule hana lolote anabahatisha tu
hautaki kuendelea kusikia.Basi inatoshaaaaa...
hautaki kuendelea kusikia.