The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 38,025
- 117,508
Teh! Teh! Mkuu unaonekana wewe ni hodari sana na unafaa kuuguza Mgonjwa! Man u hachomoki kwa Man city,ushindi wake hapo ni draw tu nayo ngumu kuipata.
Teh! Teh! Mkuu unaonekana wewe ni hodari sana na unafaa kuuguza Mgonjwa! Man u hachomoki kwa Man city,ushindi wake hapo ni draw tu nayo ngumu kuipata.
Hukunijibu Mentor, wewe waume zako ni nani?Hivi man useless nayo ni timu yako!!????
Duh mechi tatu zijazo si mchezo...maana zinapishana siku mbilimbili tu...
Jumapili - Man UTD
Jumatano - Westahm (EFL Cup)
Jumapili - Southampton
Hapo ndo October iishe...si mchezo walai!!!
HAHAAA kaka chelsea ya mou ndio huwa inatusumbua sana lakini hii ya conte sina papara nayo kabisa shaw, blind, bailly na valencia wanatosha kabisaa kuwaficha hao akina coshta, hazard na willian,
kuna kale katoto kashule rashford kakiongozwa na babu yake zlatan wakisaidiana na kaka yake wakufikia tony martial sioni kabisa beki wakuwazuia labda angekuwepo zouma.
mkuu Nonda hawezi akawa upande wa special one HAHAHAAA jamaa anamchukia mourinho huyu dah
On paper you are good but on reality you are nothing special, hazard peke yake ndio nam admire the rest wanazuilika 100%
Naziona goli za pogbackk, school boy, and the old man kadabra.
And who is alonso by the way??? (Serious Qn) what is special about him???
All of your backline are headless chicken (apart from azipilicueta).
mkuu wahenga wanasemaga "one down two to go" taratibu tutazitafuna tu...
HAHAAA kaka chelsea ya mou ndio huwa inatusumbua sana lakini hii ya conte sina papara nayo kabisa shaw, blind, bailly na valencia wanatosha kabisaa kuwaficha hao akina coshta, hazard na willian,
kuna kale katoto kashule rashford kakiongozwa na babu yake zlatan wakisaidiana na kaka yake wakufikia tony martial sioni kabisa beki wakuwazuia labda angekuwepo zouma.
mkuu Nonda hawezi akawa upande wa special one HAHAHAAA jamaa anamchukia mourinho huyu dah
On paper you are good but on reality you are nothing special, hazard peke yake ndio nam admire the rest wanazuilika 100%
Naziona goli za pogbackk, school boy, and the old man kadabra.
And who is alonso by the way??? (Serious Qn) what is special about him???
All of your backline are headless chicken (apart from azipilicueta).
Jamani naombeni mnisaidie kumtafuta huyu mtu tangu kick-off hajaonekana
cc: Mentor , Ntuzu , CleverKING
Heheheeee!! Naona mkuu Herrera alijisahau kabisa kuweka akiba ya maneno! Msamehe bure tu aisee maana now atakua yupo kwenye hali mbaya sana..Jamani naombeni mnisaidie kumtafuta huyu mtu tangu kick-off hajaonekana
cc: Mentor , Ntuzu , CleverKING
[emoji12] [emoji3] [emoji3] [emoji1] [emoji1] shabiki wa ukweli wewe wale shabiki maandazi utasikia kisasi kwa man cityTeh! Teh! Mkuu unaonekana wewe ni hodari sana na unafaa kuuguza Mgonjwa! Man u hachomoki kwa Man city,ushindi wake hapo ni draw tu nayo ngumu kuipata.
Huyu dogo ni jembe...Huyu mimi ningeweza kumuweka acheze nafasi ya Alonso ama Cahill.
Kwanza wachezaji wenzake wanasema ndiyo the fastest player in the first team kwa sasa. Yeye akifuatiwa kwa karibu na Azpilicueta.
Sasa Azpi akiwa kulia, yeye kushoto na pale kati kichaa Luiz...kuna atakayepita kweli? Natamani apangwe Jumatano!