Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hongera kwa kurudi kundini nitafutie na @b5click mwambie nimemmiss sana !! Kama yupo kwa jina lingine ajitambulishe. ........
Mimi hujanimiss[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]

Sawa tuuuuu.....

My cute b njoo huku umuone bimkubwa [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Mimi hujanimiss[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]

Sawa tuuuuu.....

My cute b njoo huku umuone bimkubwa [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] nimekununiaaaaa [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] ,njooo unibembelezeeeee....
 
[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] nimekununiaaaaa [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] ,njooo unibembelezeeeee....
Hahahaha haki ya nani Leo ninahamu ya kuoga nje......

Ukiwa unaoga nje unakua na wasiwasi Wa kuchunguliwa na watu....

Kwa furaha ya kumfunga Baba Leo naoga nje mchana peupe....


Jamani usininunie wangu mie Everlenk yerewiiiii......[emoji182]
 
Hahahaha haki ya nani Leo ninahamu ya kuoga nje......

Ukiwa unaoga nje unakua na wasiwasi Wa kuchunguliwa na watu....

Kwa furaha ya kumfunga Baba Leo naoga nje mchana peupe....


Jamani usininunie wangu mie Everlenk yerewiiiii......[emoji182]
Njooo ukichunguliwa simoooooo.......[emoji3]
 
Njooo ukichunguliwa simoooooo.......[emoji3]
Hahahaha kupatwa kwa Mourinho jamani hadi raha watu tunamwaga radhi.....

Mourinho bhana Jana kaulizwa swali na mwandishi Wa hbr juu ya maamuzi ya refa kwa kumpa kadi ya njano Luiz akaulizwa ile ilikua sahihi?

Kwakwakwakwa kwaaaaah [emoji12] baba Mou akajabu "I prifer not to speak about that" because I know if speak about that it will be problem for me " I prifer not to speak...
Huku sura ikiwa imejikunja kweli Mourinho ni handsome ata akiwa kachukia[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji12] [emoji12]

Njoo tuonge nje kwa raha zetu
 
Hahahaha kupatwa kwa Mourinho jamani hadi raha watu tunamwaga radhi.....

Mourinho bhana Jana kaulizwa swali na mwandishi Wa hbr juu ya maamuzi ya refa kwa kumpa kadi ya njano Luiz akaulizwa ile ilikua sahihi?

Kwakwakwakwa kwaaaaah [emoji12] baba Mou akajabu "I prifer not to speak about that" because I know if speak about that it will be problem for me " I prifer not to speak...
Huku sura ikiwa imejikunja kweli Mourinho ni handsome ata akiwa kachukia[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji12] [emoji12]

Njoo tuonge nje kwa raha zetu
[emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] poa bana na Hili nalo linapita.
 
[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] nimekununiaaaaa [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] ,njooo unibembelezeeeee....
dada za siku tele
 
[emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] poa bana na Hili nalo linapita.
1477308057257.jpg
 
dada za siku tele
Jamaniii[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24],(tears of joy siyo kipigo cha jana [emoji3]) njema sana Habari za wewe??.......nafurahi sana kukuona jamani kushinda kuzuri sana kumekuibua Hata wewe!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom