Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

upload_2016-10-26_21-12-8.png


kaboom khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeee
jamani haya magoli ya ki-invisible visible vipi?
 
Poleni wakuu, mmepunguza mechi za kucheza khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee 2-1 final score, car hill for Chelsick
 
Poleni wakuu, mmepunguza mechi za kucheza khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Asante mkuu, Japo tumepunguza ila tumepigwa maumivu ni yale yale
 
Conte, na kuna somo la kujifunza kuhusu waliopangwa first eleven leo..
KTBFFH
Duh madogo wanazingua...
Chelsea made seven changes to the team that thrashed Manchester United 4-0 on Sunday and paid the price against a cohesive and intense Hammers side.

West Ham reached the quarter-finals of the EFL Cup as they confidently dispatched Chelsea on an evening where there was crowd trouble at London Stadium.

Link West Ham United 2-1 Chelsea
 
Naamini Conte na benchi zima walikuwa na sababu za kuwaanzisha wachezaji wale kwenye nafasi zile, lazima kuamini wachezaji wengine na kujaribu aina nyingine ya uchezaji....
 
Mi nilisema uziefu ni kitu bora sana hata kama uu mchezaji mzuri namna gani westham waliweka kikosi chote cha kwanza
Lawama kipa kwanza
Pili kitendo cha kumtoa aspilicueta namba tatu kilituua
Tery ni wa kukaa benchi tu
Wale madogo wamesababisha tumefungwa
Batshuay sio striker wa kumuamini
Oscar na tery mfumo huu 3-4-3hauwafai hata wilian pia mfumo huu umemkataa
 
Mi nilisema uziefu ni kitu bora sana hata kama uu mchezaji mzuri namna gani westham waliweka kikosi chote cha kwanza
Lawama kipa kwanza
Pili kitendo cha kumtoa aspilicueta namba tatu kilituua
Tery ni wa kukaa benchi tu
Wale madogo wamesababisha tumefungwa
Batshuay sio striker wa kumuamini
Oscar na tery mfumo huu 3-4-3hauwafai hata wilian pia mfumo huu umemkataa
Mh pamoja na net kukatakata ilq Willian kaniboaaaaaaaa.

Oscar ni kama hakuwepo maana hata ukiniuliza kafanyaje sijui kwa kweli. Moses anacheza vizuri kuliko wao...

Madogo??? duh ndo basi tena naona...
 
Hang over ya ushindi wagoli nne kabla hamjashtuka kunywa supu, nyundo zikawashukia
 
Msiba darajani...poleni sana! Such is soccer wakuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom