Poleni wakuu, mmepunguza mechi za kucheza khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Conte, na kuna somo la kujifunza kuhusu waliopangwa first eleven leo..
KTBFFH
Conte, na kuna somo la kujifunza kuhusu waliopangwa first eleven leo..
KTBFFH
Chelsea made seven changes to the team that thrashed Manchester United 4-0 on Sunday and paid the price against a cohesive and intense Hammers side.Duh madogo wanazingua...
Mh pamoja na net kukatakata ilq Willian kaniboaaaaaaaa.Mi nilisema uziefu ni kitu bora sana hata kama uu mchezaji mzuri namna gani westham waliweka kikosi chote cha kwanza
Lawama kipa kwanza
Pili kitendo cha kumtoa aspilicueta namba tatu kilituua
Tery ni wa kukaa benchi tu
Wale madogo wamesababisha tumefungwa
Batshuay sio striker wa kumuamini
Oscar na tery mfumo huu 3-4-3hauwafai hata wilian pia mfumo huu umemkataa







Costa karudisha 2-2 sasa hiviDstv vipi uko kwenu jaman huku imezima