hahahaa ahsante mkuu, nimekubali mlituzidi, tukutane Old TraffordBora umekuja mkuu....
Pole kwa kipigo....![]()
hahahaa ahsante mkuu, nimekubali mlituzidi, tukutane Old Trafford
Ningetamani hawa wacheze Jumatano:
- Oscar,
- Willian,
- Ola Aina,
- Nathaniel Chalobah,
- Mitchy Batshuayi.
Vyovyote Conte atakavyopanga maana/ingawa game yenyewe ni mtoano...extra time and penalties najua atapanga kikosi kigumu zaidi. Ila walau watatu kati ya niliowataja.
NB: Kama Fabregas atakuwa amepona ningefurahi zaidi akacheza aisee..atasaidia sana kutoa pasi ndefu accurate maana ka ukuta ka West ham nako si ka mchezo mchezo wakati mwingine.
mkuu mi nipo mwingi sana, majukumu tu yanabanaMkuu nilikuwa nina wasiwasi sana umepatwa na nini kumbe upo salama, pole kwa yaliyokukuta...
Mkuu siku hizi kipigo popote
Conte fundi cherehani yule hana lolote anabahatisha tu
mkuu mi nipo mwingi sana, majukumu tu yanabana
hongera kwa point tatu
Juve alikuta timu iko vizuri ameondoka bado iko vizuri hakutoa mchango wowote pale...hapo Chelsea ataboronga tu ni suala la muda atatimuliwaNapenda watu kama nyie, japo ligi tofauti na na mazingira ya kazi yasiwe sawa, ila unajua mambo aliyoyafanya Juventus?
Wewe conte ndo aliyerejesha heshima ya juventus, timu ilikuwa chini sana lakini akairejesha so kama imekuuma yeye kupata matokeo mazuri meza wembeJuve alikuta timu iko vizuri ameondoka bado iko vizuri hakutoa mchango wowote pale...hapo Chelsea ataboronga tu ni suala la muda atatimuliwa

Juve alikuta timu iko vizuri ameondoka bado iko vizuri hakutoa mchango wowote pale...hapo Chelsea ataboronga tu ni suala la muda atatimuliwa
Hapo inabidi mapafu ya mbwa Azipilicueta atembee na Payet ahakikishe hapiti wala hatoi pass hatarishi, huyo Lanzini ni mjanja mjanja sana ila Cahil anaweza muhimili vizuri sana. Pia nahisi kesho Terry ataanza badala ya Luiz.
Katikati hata awe Matic au Chalobah akisaidiana na Kante wanaweza shika dimba vizuri tu.
Bleacher report nao wamepredict hivi:
West Ham Predicted XI: Adrian, Cheikhou Kouyate, Winston Reid, Angelo Ogbonna, Michail Antonio, Mark Noble, Pedro Obiang, Edimilson Fernandes, Manuel Lanzini, Dimitri Payet, Simone Zaza
Chelsea Predicted XI: Asmir Begovic, Cesar Azpilicueta, David Luiz, John Terry, Victor Moses, N'Golo Kante, Nemanja Matic, Marcos Alonso, Willian, Eden Hazard, Michy Batshuayi
Hapo kwetu natamani kwa Alonso acheze Ola Aina, kwa Eden aanze Oscar na kwa Matic acheze Chalobah!
Slaven Bilic amesema yeye game hii anapanga kikosi kazi hana cha youth power kwa game hii!!