Giro
JF-Expert Member
- Feb 9, 2009
- 359
- 24
Chelsea kuchukua EPL ndoto zimefifia toka jana matokeo ya jana tulitegemea wangeyapata atakapo cheza big match.tulisema kwamba tunaomba misuko suko yenu ya champions league muilete kwenye premier league na kweli kitu kimekubali sio.
masanilo ,rev.kishoka ,peasant na wengineo njooni mjitetee .pape yumo humu baada kufungwa goli lakusawazisha akakorofisha jf hili tusiweke comments humu.
Timu ambayo ina nafasi kubwa ya kuchuka EPL ni watoto wa Arsenali, Chelsea bado hajacheza big match zake zote while Man jana kavuta moja na ushindi mnono angalau Man U wanaweza kuwatia jamba jamba watoto wa arsenali .
Big Match za Chelsea:
Saturday, 27 March 2010
Chelsea v Aston Villa, 15:00
Saturday, 3 April 2010
Man Utd v Chelsea, 12:45
Saturday, 17 April 2010
Tottenham v Chelsea, 17:30
Saturday, 1 May 2010
Liverpool v Chelsea, 15:00
Sunday, 9 May 2010
Chelsea v Wigan, 15:00,
first round Chelsea alipigwa tatu,so anything can happen na ndio gemu ya mwisho for chelsea
Man United
Saturday, 3 April 2010
Man Utd v Chelsea, 12:45
Saturday, 17 April 2010
Man City v Man Utd, 12:45
Sunday, 25 April 2010
Man Utd v Tottenham, 14:00
Wakati Watoto wa Arsenali
Saturday, 10 April 2010
Tottenham v Arsenal, 12:45
Saturday, 24 April 2010
Arsenal v Man City, 17:30
Sunday, 9 May 2010
Arsenal v Fulham, 15:00
Anything can happen.
Thus, kutokana na ratiba ilivyokaa Chelsea sio watachemsha kuchua EPL bali wasipoangalia watamaliza ligi wakiwa wa Tatu wakati kombe limekwenda kwa Arsenal kama watakuwa makini
Nafikiri Mourinho still master at the Bridge.