Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Dah kapiga nduki mbaya hata kipa kaifwata lakini kaogopa kuucheza vyema!! Half time now vijana wa Villa park wakirudi natumai wataonesha mabadiliko
villa wamedefend vyema sana, manake chelsiki ukuwapa mwanya wa kuingia ktk 18 yako ni wabaya ohoooo!
 
Ndo mana namatumaini wakirejea wataweka nguvu kwenye kuchomoa..hata Birming naona wamekomaa kweli..Leo nadhani kutakuwa na mabadiliko (+ve change pale juu)
 
Ndo mana namatumaini wakirejea wataweka nguvu kwenye kuchomoa..hata Birming naona wamekomaa kweli..Leo nadhani kutakuwa na mabadiliko (+ve change pale juu)

Hawa leo wetu tu hawana lolote hakuna kuchomoa zaidi ni kuchomekwa mengine zaidi.
 
Duh naona hawa Villa wamerejea kama mlenda 4-1 duh Lampard kapiga la pili thru Penalt
 
Natanguliza pongezi zangu kwa ushindi wa leo...hapa naona kama kuna dalili ya kutengenezewa Uji badala ya ugali wa kisukuma....i don believe it...sijui hawa villa vp kuna timu wanakazaaa weee ila...
 
Natanguliza pongezi zangu kwa ushindi wa leo...hapa naona kama kuna dalili ya kutengenezewa Uji badala ya ugali wa kisukuma....i don believe it...sijui hawa villa vp kuna timu wanakazaaa weee ila...
Leo yamekuwakuta wameishakula 5 na bado zingine siku ya kufa nyani ...
 
naona imeshuka mvua ya kua mtu hapa darajani, kiasi ladha ya gemu imeanza kupungua
 
Unajua kazi ya leo villa ilikuwa nikushika mapembe ili Jmos ijayo kukamua madhiwa kusiwe na taabu nashangaa sita duh hawa wamekuwa fir.....sio villa tena
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom