Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

conte inabidi awe makini sana, abromovich si wa hivyo..we are tired of defensive games..kama akimtoa fabregas, i dont see his replacement as creative midfield
 
Mimi na Ivanovic tu, Hivi hawezi kabisa kupiga cross zikafika
 
HT chel 0 liver 2...very pathetic...playing like we are away!!!!
 
Zouma apone mapema, Cahill bado Hana maamuzi sahihi
Tulia bandugu, Klopp anaingiza sindano yenye dawa ya kuiponya Chelsea. Usikate tamaa mapema. Itisha Enzo na Ntuzu mfanye maombi. Mna dakika 50 za maombi lakini kwa hii mziki wa majogoo ya Malafyale na jinsi ambavo mnacheza, nategemea Sturridge ataweka bao moja au mbili ili kuweka spices kwenye mboga.
 
Tulia bandugu, Klopp anaingiza sindano yenye dawa ya kuiponya Chelsea. Usikate tamaa mapema. Itisha Enzo na Ntuzu mfanye maombi. Mna dakika 50 za maombi lakini kwa hii mziki wa majogoo ya Malafyale na jinsi ambavo mnacheza, nategemea Sturridge ataweka bao moja au mbili ili kuweka spices kwenye mboga.
Mkuu nimeupenda huu mchanganuo wako...leo hilo daraja tunalivunjavunja kabisa!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom