Mhh Chelsea kufungwa kabisa kabisa? labda lile benchi lisiwemo.
Amen. Tena mfungwe zaidi ya msimu uliopita. Mfungwe hadi kocha akimbie.naombea tupgwe tu hata gem nane mfululizo ili kocha aache ukumazani.
Wewe nikija kwako mwezi ujao tarehe 17 nakupiga kama mwanangu tu!Kupatwa kwa Chelsea.
Musibaaaaaaaaaa
Teh Teh Teh.
naombea tupgwe tu hata gem nane mfululizo ili kocha aache ukumazani.
Week ijayo Arsenal anampiga Chelsea kiurahisi tuTimu za London msimu huu ni mdebwedo
Mtu mbaya wewe! Huna huruma hata kidogo,.. Tupigwe zaidi ya mwaka jana!!?.. Mmh! Haya....Amen. Tena mfungwe zaidi ya msimu uliopita. Mfungwe hadi kocha akimbie.
Teh Teh teh
Karibu sanaWewe nikija kwako mwezi ujao tarehe 17 nakupiga kama mwanangu tu!
Bailley na Smalling ndiyo wa kumkaba Mane?
Punguza utani bana
Teh Teh Teh tena nataka nianze maombi ya kufunga kabisa. Yaani mfungwe mpaka mjiuzulu muombe mapumziko ya msimu mmoja.Mtu mbaya wewe! Huna huruma hata kidogo,.. Tupigwe zaidi ya mwaka jana!!?.. Mmh! Haya....
Unafungwa na Man City hayupo Aguero wala Kompany?Karibu sana
Ila kuwa makini maana tutawanyonya damu.
man u moto wa kifuu ukiwaka umewaka.
Hapo kwenye red bora wewe umekua mkweli...teh! teh!Daraja limevunjika.
Ila Diego yko vzr sana msimu huu!
Piga mbwaaaaaaaaaaHapo kwenye red bora wewe umekua mkweli...teh! teh!
msikini yokobus



Hizi tambo hizi..!Unafungwa na Man City hayupo Aguero wala Kompany?
Wale Man City waje vile Anfield walahi napiga 5-1
Fundi ni fundi tuHizi tambo hizi..!
Jifunze kuweka akiba ya maneno..!!!