Mijitu mingine hata haijui inachokiongea zaidi ya unazi tu Burnley si aligongwa 3 na Watford 25 goals mna bahati, subirini mkutane na Watford , Burnley au Hull yatafikia 15.
Samahani namtafuta jamaa yangu nimepotezana nae kitambo sana anaitwa Ntuzu
4 Goals bana....4 games ,5 goals conceded ..
Kuna tatizo kubwa la mabeki
Ndio, 4 goals, hii average ya 1 goal kwa mechi sio nzuri4 Goals bana....
Wasiliana na mdau anayeitwa everlenk huyu atakuonesha kasri anayoishi Ntuzu mjukuu wa Mourinho.Samahani namtafuta jamaa yangu nimepotezana nae kitambo sana anaitwa Ntuzu
Baada ya game 6 zijazo rudi kuisoma hii comment uliyoandika.Timu inacheza vizuri sana na spirit ya kutafuta ushindi ni kubwa pia ila tatizo ni kwamba accuracy ya ku-convert goals into net ni ndogo kulinganisha na idadi kubwa ya chances timu inazopata. Hicho ndicho kimei-cost timu jana hadi kukosa ushindi!
Mkuu naona saizi umezamia/potelea kwenye jukwaa la siasa mada za zanzibar.Baada ya game 6 zijazo rudi kuisoma hii comment uliyoandika.
Nando, Unaleta fyokofyoko?Mkuu naona saizi umezamia/potelea kwenye jukwaa la siasa mada za zanzibar.
Sawa mwana-asenaliZanzibar ni nchi? Tanganyika ni mkoa?
Unajisikia kupayuka, jisogeze jukwaa la siasa. Hapa ni kandanda tu. Tunafyatua kauli za mpira na majeruhi wa kabumbu.
Aione: cc Dogo mpayukaji, mnazi wa Ze bluuuz, Enzo.Sawa mwana-asenali
Babu amenunua wachezaji kwa ajili ya kuishugulikia Ze bluuz tu. Kaeni mkao wa kuliwa. Na Costa akicheza siku hiyo anakula red akifanya uhuni aliofanya kwa Swansea.Sawa mwana-asenali