Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,897
- 11,292
Teams zitakazo wania ubingwa na CL spot niTulia bandugu, Klopp anaingiza sindano yenye dawa ya kuiponya Chelsea. Usikate tamaa mapema. Itisha Enzo na Ntuzu mfanye maombi. Mna dakika 50 za maombi lakini kwa hii mziki wa majogoo ya Malafyale na jinsi ambavo mnacheza, nategemea Sturridge ataweka bao moja au mbili ili kuweka spices kwenye mboga.
Man City
Man U
Majogoo
Arsenal
Totenham
Wengine mjipange tu kwa msimu wa 2017-18