Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Babu amenunua wachezaji kwa ajili ya kuishugulikia Ze bluuz tu. Kaeni mkao wa kuliwa. Na Costa akicheza siku hiyo anakula red akifanya uhuni aliofanya kwa Swansea.

Lakini kwa nini mwana-asenali? na sio Hull?
Costa a.k.a KUBWA LA MAADUI
 
we arsenal yako mbovu tu.
Umeshanifukuza mwana-chelsea mwenza?
Uanachama wa asenane ulinizawadia, ulikuwa na lengo la kunifukuza uanachama wa chelsea kama mlimfanyia Moureen?
Sasa Mou ana hasira ,gazabu na kiburi. Amedhamiria kuigeuzia kibao Chelsea, ataitandika kama amekamata kibaka mwizi wa kuku mtaani.

Arsenal ndio bingwa wa msimu huu 2016/17. LoL.
 
Katika pitapita yangu

14264225_826649424138238_2875232221736312138_n.jpg
 
Baada ya game 6 zijazo rudi kuisoma hii comment uliyoandika.
Mkuu, nadhani unataka nifute kauli yangu!
Hilo unalowaza pia laweza kutokea ingawa siwezi kubatilisha kauli yangu. Currently timu inacheza vizuri, tomorrow nobody knows!
 
Mkuu, nadhani unataka nifute kauli yangu!
Hilo unalowaza pia laweza kutokea ingawa siwezi kubatilisha kauli yangu. Currently timu inacheza vizuri, tomorrow nobody knows!
Ze bluuz siku zote inacheza vizuri hata pale inapofungwa. Sitaki ufute kauli na inawezekana msimu huu Chelsea kugombania moja ya nafasi za Europa League. Mou wa Man. United anapenda Europa League msimu huu, anasema haya sio tena mashindano madogo na ya kuyaapuuza. Anataka kushinda Europa L.
 
Ze bluuz siku zote inacheza vizuri hata pale inapofungwa. Sitaki ufute kauli na inawezekana msimu huu Chelsea kugombania moja ya nafasi za Europa League. Mou wa Man. United anapenda Europa League msimu huu, anasema haya sio tena mashindano madogo na ya kuyaapuuza. Anataka kushinda Europa L.
Bingwa Europa League ana-qualify moja kwa moja kucheza UEFA Champs kwenye makundi. Siku hizi ligi kuu England hakuna timu yenye uhakika kumaliza ligi ikiwa ndani ya top 4!
 
Jamani baada ya GAME ya leo tuendelee kusalimiana
Mana najua MAJOGOO yanampiga mtu Darajani muda mchache ujao
Maneeeeeeeeee is getting better and better
Huwa nikisikia hiyo kauli nakuja kwenye TV najua Mane kaisha fanya yake
 
Jamani baada ya GAME ya leo tuendelee kusalimiana
Mana najua MAJOGOO yanampiga mtu Darajani muda mchache ujao
Maneeeeeeeeee is getting better and better
Huwa nikisikia hiyo kauli nakuja kwenye TV najua Mane kaisha fanya yake
Port mpira ukiisha utanipa fair play
 
Nikipigwa na jogoo ujue msimu huu nipo nafasi ya mourinho kumi na tano hahaaaaaaa
Bingwa ni ama Liverpool na Man City
mshindi wa tatu na nne ni Arsenal,Totenham na Man U
Mshindi wa 6 na 7 kucheza Europa ni ama Chelsea,Southampton na Palace
 
Bingwa ni ama Liverpool na Man City
mshindi wa tatu na nne ni Arsenal,Totenham na Man U
Mshindi wa 6 na 7 kucheza Europa ni ama Chelsea,Southampton na Palace
Unaongea km hjui mpra heb ongea kw fact...mpra haup hv unchezwa uwnjan na sio mdomon.. km nd hvo mou angkua bgwa wa epl
 
Chelsea vs liverpool#kick at *4d bridge#22:00 EAT#BLUES#LONDON IS BLUE.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom