Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,382
- 10,951
Chifu, si nimeweka msimamo wangu kwenye ile post? Kwa staili yake ya ukocha, nitaendelea kutomkubali hata akiwa Man Utd.Belo na Nzi et la nataka kuona kama mtaendelea kutompenda Maureen akija Old Trafford. Najua na nakubali alipokuwa darajani mlikuwa mnampinga kwa tabia zake na uchezeshaji wake, sasa yupo njiani kutua kwenu nina uhakika kuna siku nitawaona mkibeba bango la "Mourinho for life" hususani itakapokuja mechi za Arsenal vs Man Utd. Ni hilo tu.
