Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

b568b9806a89e9cbb4c604628c127e04.jpg
 
John Terry has been offered a one-year contract
extension...
 
Nani aliyeruhus kupigwa kwa klosi
tatizo sio cross ameruhusu nani, tatizo ni mikel alikwepo wakat goli linafungwa na alikwepo peke yake tu anashangaa wakat benteke yupo peke yake ............. angalia marudio utaona nachokisema.
 
Hatutacheza na timu yetu ya watoto walikuwa mabingwa nao hawatacheza sababu sisi hatujapita
 
wakuu siyo mbaya mmejitahidi sana toka zile nafasi za Mo hadi kwenye 10 bora mnahitaji pongezi
Ntuzu kwa heshima yako zile kumbukumbu nimezichoma moto
Mentor timu imekuchanganya hadi siku hizi habari za chelsea unaleta kwetu
tukutane msimu ujao wakuu msimuache kalou nyuma
 
wakuu siyo mbaya mmejitahidi sana toka zile nafasi za Mo hadi kwenye 10 bora mnahitaji pongezi
Ntuzu kwa heshima yako zile kumbukumbu nimezichoma moto
Mentor timu imekuchanganya hadi siku hizi habari za chelsea unaleta kwetu
tukutane msimu ujao wakuu msimuache kalou nyuma
Msimu ujao makombe yote matatu yanabaki kwetu: Premier League, Capital One Cup na FA cup.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom