Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

wakuu siyo mbaya mmejitahidi sana toka zile nafasi za Mo hadi kwenye 10 bora mnahitaji pongezi
Ntuzu kwa heshima yako zile kumbukumbu nimezichoma moto
Mentor timu imekuchanganya hadi siku hizi habari za chelsea unaleta kwetu
tukutane msimu ujao wakuu msimuache kalou nyuma

Hongera na nyie kwa kushika nafasi 8, na kwa kubeba EUROPA ............
 
First Terry amerenew mkataba...

All our good players are staying...
 
Post SAF Manchester United ni wapinzani wa timu gani na Chelsea ni wapinzani wa timu gani ?

Ingekuwa katoka Liverpool kwenda Man United,au kutoka Arsenal kwenda Spurs.Siku hizi pesa kwanza mengine baadae baada ya kufukuzwa Chelsea ulitegemea Mourinho afundishe Everton ?
 
Ingekuwa katoka Liverpool kwenda Man United,au kutoka Arsenal kwenda Spurs.Siku hizi pesa kwanza mengine baadae baada ya kufukuzwa Chelsea ulitegemea Mourinho afundishe Everton ?

Naona umeanza kumpenda Maureen. Miezi 7 iliyopita ulikuwa unampiga madongo. Time changes everything. Nasubiri nisikie Nzi atakavyosema juu ya Maureen kocha mbabaishaji
 
Naona umeanza kumpenda Maureen. Miezi 7 iliyopita ulikuwa unampiga madongo. Time changes everything. Nasubiri nisikie Nzi atakavyosema juu ya Maureen kocha mbabaishaji
Chifu, sijawahi kuwa shabiki wa Maureen kama kocha wa soka, na hilo halitobadilika hata kama akija Man Utd. Labda abadili staili yake ya ufundishaji na kufuata falsafa ya Man Utd katika staili ya mchezo na ku-nurture wachezaji chipukizi.
 
Naona umeanza kumpenda Maureen. Miezi 7 iliyopita ulikuwa unampiga madongo. Time changes everything. Nasubiri nisikie Nzi atakavyosema juu ya Maureen kocha mbabaishaji
Sidhani kama kuna makocha ntakaowapenda kama nilivyowapenda Sir Alex Ferguson na Carlo Ancelotti
Sijawahi kuwapenda Moyes au LVG lakini walivyotua United niliwa-support until walivyochemsha .Ugomvi wangu na Mourihno ni tabia yake ya kutokubali kushindwa na kulalamika ovyo na kuharibu image ya klabu anazofundisha
 
Chifu, sijawahi kuwa shabiki wa Maureen kama kocha wa soka, na hilo halitobadilika hata kama akija Man Utd. Labda abadili staili yake ya ufundishaji na kufuata falsafa ya Man Utd katika staili ya mchezo na ku-nurture wachezaji chipukizi.

Belo na Nzi et la nataka kuona kama mtaendelea kutompenda Maureen akija Old Trafford. Najua na nakubali alipokuwa darajani mlikuwa mnampinga kwa tabia zake na uchezeshaji wake, sasa yupo njiani kutua kwenu nina uhakika kuna siku nitawaona mkibeba bango la "Mourinho for life" hususani itakapokuja mechi za Arsenal vs Man Utd. Ni hilo tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom