Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Unajua ni kawaida mgonjwa akikaribia kufa huwa anatoa matumaini kidogo mkija kushtuka kafariki! Ndio kilichotokea,tuliwaambia huu ugonjwa unaoitwa PSG mgonjwa wetu CHELSEA hawezi kupona.....
 
Poreni sana ze brauzi ndio muchezo wenyewe huo...tena mushukuru saana hamukushinda maana kure kuna baka na bayerin munich.kaazi kwerikweri jamani.VIVA BAKABRAUZI
 
mazishi yamefanyika leo ktk makaburi ya Darajani huko London...habari ziwafikie, Mzee Ndenshau wa Mbokomu Kilimanjaro, mzee Lyamuya wa Mkuu Mashati Kilimanjaro, Mzee Pantaleo wa Kilema Kilimanjaro, Bibi Aika Kundaeli wa Naibili Sanyajuu Kilimanjaro, mchungaji Ndesario wa KKKT dayosisi ya Kaskazini kigango cha Kirua Vunjo Kilimanjaro na washabiki woote wa Chelsea hapa nchini.
 
mazishi yamefanyika leo ktk makaburi ya Darajani huko London...habari ziwafikie, Mzee Ndenshau wa Mbokomu Kilimanjaro, mzee Lyamuya wa Mkuu Mashati Kilimanjaro, Mzee Pantaleo wa Kilema Kilimanjaro, Bibi Aika Kundaeli wa Naibili Sanyajuu Kilimanjaro, mchungaji Ndesario wa KKKT dayosisi ya Kaskazini kigango cha Kirua Vunjo Kilimanjaro na washabiki woote wa Chelsea hapa nchini.


Hebu waambie bhana hawa ze brauzi,,, muzee wa latino kureee kwa kina gatuso
 
yaani tukimaliza kuswali Salat Inshaa tu itabidi kul nafsi dhalkatul maut isomwe kisha innalilah wainnalilah raajhun "lete udongo, lete majani, lete ubao" na hatimae maziko yatakamilika
 
#Wankers
 

Attachments

  • image.jpeg
    image.jpeg
    22.6 KB · Views: 47
  • image.jpeg
    image.jpeg
    18.5 KB · Views: 37
  • image.jpeg
    image.jpeg
    12.4 KB · Views: 44
Kwakwakwakwakwaaaaaa

Haki ya nani Nonda we kiboko

PSG Knock Chelsea out of Champions League.
Chelsea's Champions League hopes were ended by Paris St-Germain at the last-16 stage once more as Zlatan Ibrahimovic inspired the French champions to victory at Stamford Bridge. Chelsea 1-2 Paris St-Germain (agg 2-4)

Bandugu utakapomaliza kucheka, naomba unitafsirie hao wadhungu wameandika nini? Wanasema nini?
Kama na wewe ung'eng'e umekupiga chenga, itisha Mentor au Enzo itoe msaada. Kalou simtaji kwa sababu najua hatapatika kwa wiki moja kuanzia leo na simu amezima pia.
Root ndio anakumbuka maombi wakati dhoruba imeshaangusha daraja.
 
I know every thing but timu inayoshika namba 10 katika league ni vigumu kuitoa timu inayoongoza league kwa tofaut ya point 20 huko ufaransa tupate kocha mzuri kwanza then tuwaze kufunga magoli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom