Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kipa wenu namba moja yani Kipa wa CHELSEA kafungwa na MESSI
Chelsea haina kipa anaeitwa cech huyo yuko arsenal nazungumzia chelsea kama chelsea pamoja na mbwmbwe zote za mesi bado kuna timu hajaifunga goal . hicho ndio anamiss messi allways
 
hivi nyie NEW TEAM(yokobus) mna matatzo gani?? HIVI NYIE MNAUPINZANI GANI KWA BARCELONA sasa ngoja nikwambie na kwa faida ya THE BLAUZ wenzako ni kuwa mpinzani wa BARCELONA england yote ni Notingham Forest pekee huyo chelsea akae kimya kabisaaa sababu ashapigwa 5:0 kama hyo haitoshi karne hii ya 21 akapigwa tena 5:1 sasa upinzani utokee wapi kwa THE BLAUZ
Nipe matokeo ya Barcelona na Chelsea mara ya mwisho kukutana ilikuwaje?
 
Matokeo ya mwisho baina ya chelsea na basalona ilikua ni nusu finaly stamford barcelona alilala 1 kwa bila na kule kwao ilikua sare 2-2 so tuliwatoa kwa 3-2
 
hivi nyie NEW TEAM(yokobus) mna matatzo gani?? HIVI NYIE MNAUPINZANI GANI KWA BARCELONA sasa ngoja nikwambie na kwa faida ya THE BLAUZ wenzako ni kuwa mpinzani wa BARCELONA england yote ni Notingham Forest pekee huyo chelsea akae kimya kabisaaa sababu ashapigwa 5:0 kama hyo haitoshi karne hii ya 21 akapigwa tena 5:1 sasa upinzani utokee wapi kwa THE BLAUZ
Nitake radhi mkuu, niko barca ila kiukweli huwa tukikutana na Chelsea mambo huwa magumu
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Anasema chelsea sio mpinzani wa barcelona ameanza mpira kuangalia jana hana uhakika na anacho kizungumzia mimi barca naijua tokea 1994 je yeye alikua anangalia mpira wapi miaka hiyo kibanda gani anitajie
 
Anasema chelsea sio mpinzani wa barcelona ameanza mpira kuangalia jana hana uhakika na anacho kizungumzia mimi barca naijua tokea 1994 je yeye alikua anangalia mpira wapi miaka hiyo kibanda gani anitajie
Ogwa kokaja papo fiki olipo kwa team bhikuipinya bhwila bhwila?Isaga ko Liverfool!

Barca hii ya washambuliaji tu ndiyo wazuri lkn beki mbovu ingekutana na Chelsea hii hii Zouma na Terry wazima Barca angepigwa

Barca huyu hamtoi Atletico wala Bayern CL
 
Anasema chelsea sio mpinzani wa barcelona ameanza mpira kuangalia jana hana uhakika na anacho kizungumzia mimi barca naijua tokea 1994 je yeye alikua anangalia mpira wapi miaka hiyo kibanda gani anitajie
ulikuwa unaijua kivip toka huo mwaka na huo mwaka 1994 had 2000 CHELSEA ilitwaa makombe mangapi??
 
Ogwa kokaja papo fiki olipo kwa team bhikuipinya bhwila bhwila?Isaga ko Liverfool!

Barca hii ya washambuliaji tu ndiyo wazuri lkn beki mbovu ingekutana na Chelsea hii hii Zouma na Terry wazima Barca angepigwa

Barca huyu hamtoi Atletico wala Bayern CL
1:nipe matokeo ya atletico vs barca mechi iliyopita
2: nipe matokeo ya mechi iliyopita kati ya BARCA na BAYERN nani alimpeleka mwenzie out UEFA
 
Ogwa kokaja papo fiki olipo kwa team bhikuipinya bhwila bhwila?Isaga ko Liverfool!

Barca hii ya washambuliaji tu ndiyo wazuri lkn beki mbovu ingekutana na Chelsea hii hii Zouma na Terry wazima Barca angepigwa

Barca huyu hamtoi Atletico wala Bayern CL

Huo unaitwa ushabiki mandazi...lete statistics za baca na Atl....baca na bayern,
 
  • Thanks
Reactions: PNC

Similar Discussions

Back
Top Bottom