Barca mashaka yetu ni Bayern tu, sio hawa wehu.Afadhali sasa, maana Barcelona tunauhakika wa kuitetea ndoo
Ahahahahahahahahahahahahahahaha!!!!Tulikosea toka mechi ya kwanza
Nimecheka sana hiimazishi yamefanyika leo ktk makaburi ya Darajani huko London...habari ziwafikie, Mzee Ndenshau wa Mbokomu Kilimanjaro, mzee Lyamuya wa Mkuu Mashati Kilimanjaro, Mzee Pantaleo wa Kilema Kilimanjaro, Bibi Aika Kundaeli wa Naibili Sanyajuu Kilimanjaro, mchungaji Ndesario wa KKKT dayosisi ya Kaskazini kigango cha Kirua Vunjo Kilimanjaro na washabiki woote wa Chelsea hapa nchini.
Mpinzani wa kweli wa Barcelona ni Chelsea kwa siku za karibuni, hao wengine siwezi wahofia kabisa kama nilivyokuwa namhofia ChelseaBarca mashaka yetu ni Bayern tu, sio hawa wehu.
Afadhali sasa, maana Barcelona tunauhakika wa kuitetea ndoo
Mpinzani wa kweli wa Barcelona ni Chelsea kwa siku za karibuni, hao wengine siwezi wahofia kabisa kama nilivyokuwa namhofia Chelsea
Ha ha ha sawa mkuu but mark my wordsJidanganye tu..chelsea kawa nani? Anavyofungwa na vitimu vidogo kule kwao, je ataweza kupambana na wanaume? Ndugu yangu spain leagues wanatumia akili uwanjani sio manguvu ka EPL...pale spain timu ya kufungwa na brauzi labda ile inayoshikilia mkia
Tumewakimbia msije mkajisifu mmetufunga huyo mess alitamani sana kutufunga ila atakua amehuzunika sana chelsea kutoka maana ana ndoto za kuifunga chelseaMpinzani wa kweli wa Barcelona ni Chelsea kwa siku za karibuni, hao wengine siwezi wahofia kabisa kama nilivyokuwa namhofia Chelsea
hapo ndipo ninaposhangaa Cech alikuwa kipa wa Chelsea na kafungwa na KING kama hyo haitoshi mimi ckuzote naamini anayefungwa golini ni kipa na wala sio terry wala zouma sasa Nyie chelsea mnataka mfungwe vp na MESSI wakati kipa wenu tena nambar moja ashafungwa na KINGTumewakimbia msije mkajisifu mmetufunga huyo mess alitamani sana kutufunga ila atakua amehuzunika sana chelsea kutoka maana ana ndoto za kuifunga chelsea

hivi nyie NEW TEAM(yokobus) mna matatzo gani?? HIVI NYIE MNAUPINZANI GANI KWA BARCELONA sasa ngoja nikwambie na kwa faida ya THE BLAUZ wenzako ni kuwa mpinzani wa BARCELONA england yote ni Notingham Forest pekee huyo chelsea akae kimya kabisaaa sababu ashapigwa 5:0 kama hyo haitoshi karne hii ya 21 akapigwa tena 5:1 sasa upinzani utokee wapi kwa THE BLAUZMpinzani wa kweli wa Barcelona ni Chelsea kwa siku za karibuni, hao wengine siwezi wahofia kabisa kama nilivyokuwa namhofia Chelsea
Ndugu messi hajawahi kuifunga goal chelsea japo wamekutana mara kibao huyo cech ni wa arsenal sio chelseahapo ndipo ninaposhangaa Cech alikuwa kipa wa Chelsea na kafungwa na KING kama hyo haitoshi mimi ckuzote naamini anayefungwa golini ni kipa na wala sio terry wala zouma sasa Nyie chelsea mnataka mfungwe vp na MESSI wakati kipa wenu tena nambar moja ashafungwa na KING![]()
![]()