DesertStorm
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 3,184
- 2,597
Chelsea ni timu ya walalahoi, eti nynyi ndio wakujigamba kwa baselona!
Kasi bandugu, sio kesi.Kesi gani Kiongozi
Unasema Chelsea hawawezi kuifunga PSG bao 3-1 au 4-1?Game over
Tusubirie msimu wa 2017/2018
HahahKasi bandugu, sio kesi.
Vipi sindano moja tu,unaanza kupoteza fahamu?
Utaipenda utaipenda Chelsea na Costa utawapenda........Umeona mafiaso nduguye abrahamovic(Ibrahimovic) ameshawasababishieni ajali. Ameangusha Tingatinga katikati ya Daraja, jamaa alim-beep kipa, kipa alisinzia. Sasa angalia swala wa Guus watakavyokimbia kimbia uwanjani.
Kasi bandugu, sio kesi.
Vipi sindano moja tu,unaanza kupoteza fahamu?
Tayari Costa amevua mask ili atumbue majipu. Nipo na karanga hapa, kwayu, kwayuuu na nabugia na kajuisi ya mchicha na mrenda.Ntuzu ile kasi uliyokuwa unaisema haionekani
Costa ana mpango wa kumpigisha mmoja wa PSG kadi nyekundu. Anajiangusha angusha bila sababu. Haya 45 zimeisha. Naiona Chelsea ikiingia mtegoni kiulaini kipindi cha lala salama.Utaipenda utaipenda Chelsea na Costa utawapenda........
Hahahaaaaa, maujanja uwanjani. Game laini saaaana.Costa ana mpango wa kumpigisha mmoja wa PSG kadi nyekundu. Anajiangusha angusha bila sababu. Haya 45 zimeisha. Naiona Chelsea ikiingia mtegoni kiulaini kipindi cha lala salama.
PSG wanacheza rafu sn km Hili li Mota hili lilikua lipate kadi ya pili ya njano nashangaa anapewa FabyCosta ana mpango wa kumpigisha mmoja wa PSG kadi nyekundu. Anajiangusha angusha bila sababu. Haya 45 zimeisha. Naiona Chelsea ikiingia mtegoni kiulaini kipindi cha lala salama.
Substitute mickel off matic onMikel is out of the game aisee...too slow to react i am not satisfied.
Hofu yangu sasa ni sub atakazofanya Hiddink. Ila Mikel anawachelewesha sana wenzake.
One goal and we are even..just one goal.
Chelsea hatoki hapa hata kwa miujiza..Hakuna game plan ya hivyo Kennedy atakua exposed Muda Sio mrefu
Usiwaze saaaana, tunapiga kama kawa. We are on fire now after first goal from PSG. TunashindaNiko hapa naangalia lakini niko kama nimemwagiwa maji ya baridi