Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tukitahidi tuingie hata Europa msimu ujao maana ndo tumetoka tayari
Beki mbovu
Kipa nae falaaaa
 
Tukitahidi tuingie hata Europa msimu ujao maana ndo tumetoka tayari
Beki mbovu
Kipa nae falaaaa
Umedharau, hukwenda kwa nyumba ya ibada kuomba waiombee Yokohama. Wewe huamini katika miujiza? Au zama za miujiza zimepita?
 
Tukubali tulikosea msimu huu wote
Tuanze upya mbona timu zinashuka daraja na zinapanda
Labda wachezaji wataumia kwa kukosa kucheza Jumanne /tano na kuweka bidii ili wacheze baada ya msimu ujao
 
Kuna mtu alinipa jina la sheikh Yahaya sijui alikuwa anafikiria nini
Niliwambia hamna ubora wakuwafunga PSG..
 
Kumbuka na wa PSG nao wanamuomba Mungu
PSG wameenda kwa maganga wa jadi, voodooo. WEWE umedharau kumwomba Mungu akuepushe na kikombe hiki sasa usilalamike. Kinywe tu bila kufumba macho.
 
Ngoja nipotee, nikaanze kuandika barua ya rambirambi na pole kwa bandugu zote za daraja bovu popote walipo.
 
Naona PSG wameingiza mchezaji anaitwa "funga kazi" dakika ya 81.Duh, PSG hawana huruma.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom