Unazeeka vibaya weweleo ni leo afe kima afe mtu darajani havuki mtu lazma psg wale kibano cha haja
Unazeeka vibaya weweleo ni leo afe kima afe mtu darajani havuki mtu lazma psg wale kibano cha haja
Kaka, shkamoo!Wewe panga line up yoyote uipendayo...nimemtumia Guus huu mchango wako ili aufikirie. Hata PSG wakiwa 10 uwanjani leo, Tairi za Yokohama lazima zitolewe upepo leo.
Ubaya wa Chelsea leo watacheza, wakipanga matokeo ya 1-0 kwa hiyo watawekeza kwenye kujihami zaidi. PSG kwa upande wao watapigana wafunge lile bao 1 la ugenini ili kuhakikisha Ze bluuzz inakimbia uwanjani kama swala anayefukuzwa na Simba.
Yamebakia masaa machache ili kuujua umafiaso wa Abrahamovic wawili.
Umshkuru mungu kwamba ukweli umeuzidi uongo ndani yako.Twaweza mfunga huyu PSG ila naogopa sana siku ya leo, sijui nimepatwa na kidudu gani
usikimbie jukwaa leo wakati tunamtundua psgUnazeeka vibaya wewe
Aaaaah kibangaaaa, ngoja leo psg wawabangue.usikimbie jukwaa leo wakati tunamtundua psg
Leo nahisi ndo tunaondolewa rasmi UEFA.
Kijana ukija nyumba za watu unavimba kweli kweli na maneno kibao kua majirani hatuna jipya mwisho wetu umefika kumbe ukirudi gheto kwako unakua kama umemwagiwa maji ya baridi na unafyata mkia duh nimecheka sana kukukamata mjanja wewe.-Walianza Man U makundi
-Sasa hivi ni zamu yetu hatua ya mtoano
Bora na sisi tungetoka makundi tu kama Man U.
sisi tunatumia uzoefu sisi sio arsenal tutahakikisha havuki mtu darajani wakizuia sana ni mbili mkuuAaaaah kibangaaaa, ngoja leo psg wawabangue.
Kama last season mlivyotumia experiance au sio?sisi tunatumia uzoefu sisi sio arsenal tutahakikisha havuki mtu darajani wakizuia sana ni mbili mkuu
asante mkuu kuna watu humu wanaota ndoto eti chelsea anatoka hawajui kwamba chelsea ni habari nyingine
mkuu Nonda welcome to *4d bridge uone attractive football.No hope, no life. Umeshakufa tayari. Endelea kuiombea Yokohama itakapotumbuliwa jipu PSG watumie sindano ya ganzi ili kupoza maumivu.
wewe subiri mda haudanganyiKama last season mlivyotumia experiance au sio?
hawaelewi sisi tunamipango uefa msimu ujao tunaingia kama bingwa mtetezi waache wao wapambane na hiyo ligi ya mchanganiBaadae wasije wakaanza oooohhhh wamepewa,,, oooohhhh wamebahatisha.
Cheki mchezo kwa makini. Chelsea ubingwa wetu mwaka huu.
khalfanshaban@gmail.com
Hahahaaaaa we jamaa majibu yako bhanaNo hope, no life. Umeshakufa tayari. Endelea kuiombea Yokohama itakapotumbuliwa jipu PSG watumie sindano ya ganzi ili kupoza maumivu.