Hahahaaaaa unaonesha kiasi gani umeshawatoa arsenal mpaka useme tukutane na baca.Msiombe mkutane na baca mtadhalilika sana
Ofcoz after majeruhi ya Zuma na Mzee mwenyewe terryTimu yetu hii haiaminiki kabisa kukaba naona kuna shida sana ni bora matic angecheza na kenedy
Nini tena bandugu?
hawa mbwa psg wanabana lakini wataachia tu
Kwa nini unataka ucheze na wapinzani pungufu? Teh teh.....PSG wanacheza rafu sn km Hili li Mota hili lilikua lipate kadi ya pili ya njano nashangaa anapewa Faby
Afadhali hope imerudi. Sasa kimbilia kwa msikiti, kanisa au hekaluni na uombe warushe maombi ya nguvu. Waombe kwa sauti na vitendo. Au huamini katika maombi wewe?Just two goals Chelsea
Mawili tu tuepukane na aibu hiii yaani tukose UEFA mwakani daaah