ENZO
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,248
- 1,746
sawa shehk. yahaya.Aaah tayar mmeshatoka hamna ubora wakumtoa PSG.
sawa shehk. yahaya.Aaah tayar mmeshatoka hamna ubora wakumtoa PSG.
CHELSEA: Courtois; Azpilicueta, Cahill, Ivanovic, Kenedy; Mikel, Fabregas; Pedro, Willian, Hazard; Diego Costa.Nahisi nitalia machozi...au awapange Mikel na Matic pamoja. Maana yake mbele lazima mtu awe sacrificed. Those guys ukiacha T. Silva pale nyuma pako easy sana. Enough attacking na kule mbele watamwacha Ibrahimovic peke yake apambane na Cahill ama Ivanovic.
Mikel is too slow for this game...i will cry nikimuona kwenye line up nahisi dah!
Mkuu kwa nini umelileta hili swala????
Mkuu, niliwahi kukwambia, timu yetu inafanya vibaya kwa kuwa na wachezaji wazeee. Hivi bado huamini?Nahisi nitalia machozi...au awapange Mikel na Matic pamoja. Maana yake mbele lazima mtu awe sacrificed. Those guys ukiacha T. Silva pale nyuma pako easy sana. Enough attacking na kule mbele watamwacha Ibrahimovic peke yake apambane na Cahill ama Ivanovic.
Mikel is too slow for this game...i will cry nikimuona kwenye line up nahisi dah!
Mkuu kwa nini umelileta hili swala????
Vipi wewe na Mentor mmependa Guus alivyowapangia kikosi chenu?Twaweza mfunga huyu PSG ila naogopa sana siku ya leo, sijui nimepatwa na kidudu gani
Nimetengeneza juisi yangu ya nyanya, karoti na vitango na kiroba cha karanga pembeni. Tayari kuona Costa akiondolewa mask yake. Walete waleteeee!Do not disappoint us chelsea
herrera ,wewe hujui hizi ni zama za kutumbuana majibu na hapanakazi tu? Ngoja tuone Yokohama inavyohimili barabara za matuta au wadaraja watakosa bahasha za kununua ticket ya kuvuka na wataamua kuvuka kwa kupinga mbizi.Hahahaaaaa we jamaa majibu yako bhana
Nakucheki tu bandugu......herrera ,wewe hujui hizi ni zama za kutumbuana majibu na hapanakazi tu? Ngoja tuone Yokohama inavyohimili barabara za matuta au wadaraja watakosa bahasha za kununua ticket ya kuvuka na wataamua kuvuka kwa kupinga mbizi.
Umeona mafiaso nduguye abrahamovic(Ibrahimovic) ameshawasababishieni ajali. Ameangusha Tingatinga katikati ya Daraja, jamaa alim-beep kipa, kipa alisinzia. Sasa angalia swala wa Guus watakavyokimbia kimbia uwanjani.Nakucheki tu bandugu......