RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,910
- 130,012
Naona baada ya mgonjwa kuanza kunywa uji hatimae anatembea umeibuka!Today is today ...
Naona baada ya mgonjwa kuanza kunywa uji hatimae anatembea umeibuka!Today is today ...
Nyuma kushoto acheze Kennedy.
Kati defence Matic na Fabregas.
Kati attacking Willian...Pedro...Hazard!!!
Today is today ...
Umeona eee! Tusubiri kama akipata kipigo kitakatifu atarudi kusaidiana na Ntuzu kupokea mkono wa pole na rambirambi.Naona baada ya mgonjwa kuanza kunywa uji hatimae anatembea umeibuka!
winga teleza ya PSG Kennedy ataiweza? .............. mi napendaga fabrigas akiwa huru zaidi" sema ndio hivyo Mikel+Matic imekataa kufanya kazi.
sasa ndiyo utakapomwona Hiddink mwehu, leo Mikel anaanza, matic bench! sijui Mikel kampa pepo gani huyu mzeeKama Matic akicheza to his level, Fabregas anakuwa free sana...na ndo maana anafaa hapo kati. Anachukua kwa mabeki na ku supply mbele.
sasa ndiyo utakapomwona Hiddink mwehu, leo Mikel anaanza, matic bench! sijui Mikel kampa pepo gani huyu mzee
game must win unampanga Mikel ambaye mzito, hata pressing tatizo kwake! hii game kama kenedy yupo fit anahitajika zaidi kuliko baba rahmanNahisi nitalia machozi...au awapange Mikel na Matic pamoja. Maana yake mbele lazima mtu awe sacrificed. Those guys ukiacha T. Silva pale nyuma pako easy sana. Enough attacking na kule mbele watamwacha Ibrahimovic peke yake apambane na Cahill ama Ivanovic.
Mikel is too slow for this game...i will cry nikimuona kwenye line up nahisi dah!
Mkuu kwa nini umelileta hili swala????
Wewe panga line up yoyote uipendayo...nimemtumia Guus huu mchango wako ili aufikirie. Hata PSG wakiwa 10 uwanjani leo, Tairi za Yokohama lazima zitolewe upepo leo.Nahisi nitalia machozi...au awapange Mikel na Matic pamoja. ...Mikel is too slow for this game...i will cry nikimuona kwenye line up nahisi dah!
Mkuu kwa nini umelileta hili swala????
Imani ni kitu ingine na mbinu na ufundi wa kusakata kabumbu uwanjani ni kitu ingine. Imani bila vitendo ni jipu.Naimani tutashinda gemu letu
No hope, no life. Umeshakufa tayari. Endelea kuiombea Yokohama itakapotumbuliwa jipu PSG watumie sindano ya ganzi ili kupoza maumivu.Leo naangalia tu no hopes kabisa
No hope, no life. Umeshakufa tayari. Endelea kuiombea Yokohama itakapotumbuliwa jipu PSG watumie sindano ya ganzi ili kupoza maumivu.
What hapenned i don't know
Ghafla ikifika saa 6 atajisikia hoi tena.Naona baada ya mgonjwa kuanza kunywa uji hatimae anatembea umeibuka!
Aaah tayar mmeshatoka hamna ubora wakumtoa PSG.Twaweza mfunga huyu PSG ila naogopa sana siku ya leo, sijui nimepatwa na kidudu gani