Duh umeamua tu kubisha kwiiii kwiiii hata Pellegrin mapema alisema ataweka makinda embu angalia hata analysis za wenye mpira wao wanakwambia Youngsters wamepasuliwa ivi kila kitu lazima tuwe UKAWA aibu mkuu.Demichel, Zabaleta, Kolarov, kumbe makinda ...........
Hazard siku hizi kapooza sanaa, sema ni goli na hizo assist mbili ndio kidogo zimembeba aonekane, ila kwa runs anazofanya Pedro, hazard atajikuta akisugua benchi ............. Fabripass kapga kazi sana aisee.Kwangu mimi hazard man of ze match
Hazard
Hazard siku hizi kapooza sanaa, sema ni goli na hizo assist mbili ndio kidogo zimembeba aonekane, ila kwa runs anazofanya Pedro, hazard atajikuta akisugua benchi ............. Fabripass kapga kazi sana aisee.
Ahhhh kwa sasa aje tu ,halafu media za Leo zimepaisha sana Kwamba Rasmi MUFC.........,,,Vipi mabingwa watetezi wa Elp? Mambo yanakwenda kama yalivyopangwa au yameparaganyika?
Mjitahidi Yokohama mshinde Champions League au mwakani mtasikia redioni tu CL na Europa L. kwa sababu kwa wapenzi wa Ze bluuz watazuiliwa kuangalia hiyo michuano kupitia mitandao, ungo au TV.
Vipi Mou alipo upo? Ntuzu, nilikupa muda wa kutosha kupunguza maumivu, natumai afya imeimarika. Ninapomuombea Magufuli na Majaliwa, hawa wameomba tiwaombee, na wewe nakuombea pia ili usiisome namba.
Umeona siku hizi hakuna mpayuko na mihemko kwa makocha na wakufunzi wa ELP, ni mabusu kedekede tu, bear hugs na kupeana mikono na pat at the back/ on the shoulder. DOMOkaya yuko wapi siku hizi?
Bandugu, nisije sahau, nilikuja kutoa mkono wa pole na kukujulia hali, wadanganyika tuna kawaida hiyo, Akilazwa Kadinali Pengo, tinakuja kumjulia hali, akilazwa Mufti Zuberi tinakuja kumpa pole na kumkumbusha kutenda dhambi adhabu yake ni mauti.
Wasalimu Mentor, Kalou, Enzo, yule mfalme anayetembea bila nguo na mzizi ingawaje menyewe inapenda kujiita hivyo kwa kidhungu.
Titaonana kwenye mazishi ndani ya wiki 2 au 3?
Media imemalizana na Domokaya, sasa inamchokonoa yule mrembo wa mashetani wekundu, rafiki na everlenk
Hongereni kwa kuwafunga Man City 'C'Nimemaliza kuangalia replay za game...Pedro kafanya runs nyingi ila zisizo na matokeo. Pedro kafanya runs nyingi kwenye half yetu.
Hazard kwa upande mwingine kafanya runs nyingi kuelekea goli la adui...na nyingi zilikuwa final passes ni vile tu hazikuwa converted!
OSCAR kaniboajeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee....asipewe tena kupiga penalty. Kuna hadi pundit kaandika, "If even Caballero can predict your penalty moves, it's time to step down!!!"
Hongereni sana kwa ushindi.....1
bora hata sisi tumewafunga Man City D Tano, nyie kale katimu kadenmark sijui hata kanatamkwaje mlikafunga ngap? ..............Hongereni kwa kuwafunga Man City 'C'
kama nyie mlivyomfunga PSG........!bora hata sisi tumewafunga Man City D Tano, nyie kale katimu kadenmark sijui hata kanatamkwaje mlikafunga ngap? ..............