Jirani hodiiii hapa nakuomba uje tu hawa City wameleta makinda hauna haja ya kuogopa jirani
Pole sn Mkuu nilikwambia lkn!Aisee...
Acha tu...Pole sn Mkuu nilikwambia lkn!
Kocha wenu kazidi zarauAcha tu...
Huyu bora liende tu...Kocha wenu kazidi zarau
Demichel, Zabaleta, Kolarov, kumbe makinda ...........Jirani hodiiii hapa nakuomba uje tu hawa City wameleta makinda hauna haja ya kuogopa jirani