The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 34,379
- 103,728
Hahahaaaa!! Mkuu upo? 😀Tunaomba waambie wenzio waliojificha warudi
Hahahaaaa!! Mkuu upo? 😀Tunaomba waambie wenzio waliojificha warudi
Sisi hatujawaji kukimbia,kuna wenzio bado hawajarudiHahahaaaa!! Mkuu upo? 😀
Hazard ni mzigo kwenye timu naona anataka kuondoka,
Hazard anajiona SuperStar kwwnye timu wakati kufunga hafungi..... Real au PSG hawatamchukua sababu sio mfungaji na zile chenga zake zimekwisha siku hizi, he is uselessSijui Hazard ana shida gani?! makali yote kwishinei .............. yaani bora Pedro anajitahid sanaaaa. Jana kapiga kazi ya hatariii..
PSG walitawala pale katikati tatizo lilikuwa link kati ya viungo na forward ndio maana uliona Verrati,Matuidi na Di Maria wote walikuwa wanapiga mashuti ya mbali kipa akaokoa
Ibra alikuwa anakuwa out of position na mara nyingi anakuwa offside ndio maana alivyoingia Cavani tu akafunga.
Hazard ni mzigo kwenye timu naona anataka kuondoka,
PSG wataanza na kikosi na formation ileile but Chelsea lazima itabadilika
1.JT anaweza akarudi so defence itabadilika
2.Je Hiddink atawachezesha Obi na Matic kwa pamoja ?
3.Nani ataanza kati ya Hazard na Oscar ?
Hii game haitakuwa nyepesi kama unavyofikiri na PSG wana viungo ambao wanaweza ku-possess mpira muda mrefu (Verrati,Matuidi,Di Maria)
Hazard auzwe tu, na hiyo deal kwa PSG imuhusishe kati ya moura au de mariaSijui Hazard ana shida gani?! makali yote kwishinei .............. yaani bora Pedro anajitahid sanaaaa. Jana kapiga kazi ya hatariii..
Auzwe tu mana haonyeshi hata jitihada, inaniuma sana yaani mana ndio alikua my favourite player.Hazard anajiona SuperStar kwwnye timu wakati kufunga hafungi..... Real au PSG hawatamchukua sababu sio mfungaji na zile chenga zake zimekwisha siku hizi, he is useless
Hazard auzwe tu, na hiyo deal kwa PSG imuhusishe kati ya moura au de maria
Ni sawa na salamu za kadi redioni..Leo tunaenda kuuwa nyani hatuta mtazama machoni chelsea piga hao man city tatu bila
Ngoja nitangulize pole kwako mkuu maana baada ya saa mbili na nusu usiku utakuwa unalia.. Za masiku mengi mkuu...Nikikumbuka ya Stella Abijan basi huwa nakosa raha mkuu. Usikumbushe tu...
Tushapoa mkuu... Lakini hukuona kama timu tuliyocheza nayo ni tofauti na mliyoifunga (kwa kubahatisha)? Halafu tulicheza vizuri zaidi yao sema bahati haikuwa yetu. Uliangalia ball possession? Tulikuwa na 60% wao na 40%!
Karibu mgeniHodi humu ndani..
Asanteee..Karibu mgeni