Nini kimetokea leo?nilijua chelsea watazidiwa sana na dk 20 za mwanzo zilinitisha. ila naona lolote linaweza kutokeea.
Nini kimetokea leo?nilijua chelsea watazidiwa sana na dk 20 za mwanzo zilinitisha. ila naona lolote linaweza kutokeea.
Vipi bado upo? Au umepata dili kwenda mjini, kwa hiyo huwezi kuvumilia maumivu?Hahahah leo sikimbiii
Wakiongea au wasiongee, wakiwa vuvuzela au wakiwa mabubu, wapigwe tu hakuna namna.Uwe unaongea haya maneno kabla ya mechi sio unasubiri mfunge goli
Hapana mie nipo mbonaVipi bado upo? Au umepata dili kwenda mjini, kwa hiyo huwezi kuvumilia maumivu?
Vipi mabingwa watetezi wa Elp? Mambo yanakwenda kama yalivyopangwa au yameparaganyika?Hafi mtu wewe Aleyn
Thank you!Karibu sana.....
Vipi ametimiza ahadi yake au "uzalendo" umemshinda kama Dr. Mihogo? Amepaa kwa pipa au ungo?Hahahaaaaaaa maneno meeeengiiiii tusikiambiane best......
Ulikuwa umalizie, waree wareee,watani.Hongereni watani
Kweli mwaweza pata au mwaweza patwa mchezo wa marudio.Hapana mie nipo mbona
Amgalau tumejitahidi kupata goli moja, moja si haba kwa hii timu yetu...
Natumai mchezo wa marudio twaweza pata moja tusonge mbele au tuwafungee 2 (ingawa sidhani kama itatokea)
PSG lazima afe Darajani na ndio mwisho wake huo.
tatizo hapo kwenye beki, kama Terry hatokuwa amepona, hivi akiumia mmojawapo, nani anaweza kuchukua nafasi na kumudu!Sikuumizwa sana na matokeo ya jana kwa kweli.
Negatives:
1. MIKEL...huyu ni jipu la kutumbuliwa. Jana alinifanya nikamkumbuka Ramires. Anakimbiakimbia uwanjani na hajafanya tackling hata moja, ila kapoteza mipira mingi tu. Kwa kweli huyu hapana anafaa EPL tu huku.
2. HAZARD/OSCAR SUB: Huenda kuna tatizo kati ya Hazard na timu/kocha. Ila kwa mechi ya jana, Willian alikuwa amechoka kuliko Hazard na mimi nilitarajia yeye ndo angepumzika. Tuseme tu, SUB ya kocha haikuwa sawa na aliowaacha benchi sio kwamba wanategemewa Jumapili. Kennedy ana speed ya kutosha dakika ile ya 80 angeweza kumuingiza amtoe Willian naamini angesaidia..hata hivyo...too late!
3. AZPILICUETA: Kwa kweli alijitahidi sana...anajituma mechi zote! Ila kule kulia kuna wakati alikuwa anapwaya kiasi. Hope atajirekebisha.
POSITIVES:
1. THERE IS HOPE: Kwa jinsi PSG walivyocheza jana sio team ya kuiogopa kabisa. Wanapitika na wamafungika sana. Ni timu inayopenda kumiliki na kucheza na mpira ila sio that clinical. Wao na goli lao la offside.
2. MATIC: Atakuwa amerudi. Huyu jamaa hana mbio kama Kante ila ana akili nzuri na urefu wake utamsaidia ku-neutralize mashambulizi ya adui. Sikuamini zile kona zote na watu wao warefu wote ila hawaku-win hata moja! Atatusaidia kwenye aerial duels na ni dependent kuwapa cushion mabeki wetu.
3. IVANOVIC & CAHILL: Hata kama Terry bado hatokuwepo..I can still rely on these two kwenye mechi ya marudiano. Na jambo zuri ni kuwa, watapata mechi kama tatu za kucheza pamoja kabla ya mechi ya marudiano.
4. ABDUL BABA RAHMAN: Classic. Mwanzoni alivyopigwa chenga akateleza nilipatwa na hofu sana ila kadri game ilivyoenda aliimarika mpaka nikafurahi mwenyewe...kuna weaknesses zake ila naweza kusema kwangu mimi na kwa mechi ya jana alicheza vizuri kuliko Azpilicueta.
5. PATO: Hiddink alisema kwa maendeleo aliyonayo Pato, anaweza kuwa fit kucheza mechi ya marudiano. Natamani kuona akicheza na Costa pale mbele. 4-4-2 yaani hizo midfield iwe ni Hazard (Sub:Oscar/Kennedy) - Fabregas - Matic - Willian (Sub: Pedro)
Ball possession ngapi kwa ngapiPSG lazima afe Darajani na ndio mwisho wake huo.
Jana PSG wamechezewa sn kiasi wakija Darajani wanajua kabisa kua watakua na kz kubwa sn.
Terry atakuawepo na safu ya ulinzi kusimama km kawaida.
Matic atakuwepo kumsaidia Obi pale kati na kumfanya Faby acheze huru nyuma ya Costa.
Pedro au Hazard mmoja lazima aanzie benchi.
Mbona hawa PSG ni wetu tu.
Kwanza ngoja tumalize biashara na Man City weekend hii ijayo!
Sikuumizwa sana na matokeo ya jana kwa kweli.
Negatives:
1. MIKEL...huyu ni jipu la kutumbuliwa. Jana alinifanya nikamkumbuka Ramires. Anakimbiakimbia uwanjani na hajafanya tackling hata moja, ila kapoteza mipira mingi tu. Kwa kweli huyu hapana anafaa EPL tu huku.
2. HAZARD/OSCAR SUB: Huenda kuna tatizo kati ya Hazard na timu/kocha. Ila kwa mechi ya jana, Willian alikuwa amechoka kuliko Hazard na mimi nilitarajia yeye ndo angepumzika. Tuseme tu, SUB ya kocha haikuwa sawa na aliowaacha benchi sio kwamba wanategemewa Jumapili. Kennedy ana speed ya kutosha dakika ile ya 80 angeweza kumuingiza amtoe Willian naamini angesaidia..hata hivyo...too late!
3. AZPILICUETA: Kwa kweli alijitahidi sana...anajituma mechi zote! Ila kule kulia kuna wakati alikuwa anapwaya kiasi. Hope atajirekebisha.
POSITIVES:
1. THERE IS HOPE: Kwa jinsi PSG walivyocheza jana sio team ya kuiogopa kabisa. Wanapitika na wamafungika sana. Ni timu inayopenda kumiliki na kucheza na mpira ila sio that clinical. Wao na goli lao la offside.
2. MATIC: Atakuwa amerudi. Huyu jamaa hana mbio kama Kante ila ana akili nzuri na urefu wake utamsaidia ku-neutralize mashambulizi ya adui. Sikuamini zile kona zote na watu wao warefu wote ila hawaku-win hata moja! Atatusaidia kwenye aerial duels na ni dependent kuwapa cushion mabeki wetu.
3. IVANOVIC & CAHILL: Hata kama Terry bado hatokuwepo..I can still rely on these two kwenye mechi ya marudiano. Na jambo zuri ni kuwa, watapata mechi kama tatu za kucheza pamoja kabla ya mechi ya marudiano.
4. ABDUL BABA RAHMAN: Classic. Mwanzoni alivyopigwa chenga akateleza nilipatwa na hofu sana ila kadri game ilivyoenda aliimarika mpaka nikafurahi mwenyewe...kuna weaknesses zake ila naweza kusema kwangu mimi na kwa mechi ya jana alicheza vizuri kuliko Azpilicueta.
5. PATO: Hiddink alisema kwa maendeleo aliyonayo Pato, anaweza kuwa fit kucheza mechi ya marudiano. Natamani kuona akicheza na Costa pale mbele. 4-4-2 yaani hizo midfield iwe ni Hazard (Sub:Oscar/Kennedy) - Fabregas - Matic - Willian (Sub: Pedro)
Ktk hiyo game ya marudiano tegemea sn Chelsea kumiliki mpira Zaidi ya PSG ns ata Jana uliona namna Chelsea walivyopunguza gape ya umiliki wa mpira ya PSGBall possession ngapi kwa ngapi
Si kweli nategemeaaa PsG kuendeleaaa kumiliki mpiraaa na kupataa goal dk za mwanzoniKtk hiyo game ya marudiano tegemea sn Chelsea kumiliki mpira Zaidi ya PSG ns ata Jana uliona namna Chelsea walivyopunguza gape ya umiliki wa mpira ya PSG