Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hawa jamaa walikuwa wakwetu tu walishajua leo ni kichapo tu..
 
RRONDO mkuu wakati wa mechi yetu huwezi kunikuta natumatuma msg.

Ila leo ushindi ulikuwanwetu tu...haya kibarua kwenu kesho.

Ni kweli natamani mshinde swali ni mtaweza?????
 
319E65D900000578-3467139-image-a-98_1456592340897.jpg


Branislav Ivanovic (left) climbs above Virgil van Dijk to power Chelsea into the lead with a bullet header in the 89th minute



he Chelsea players jump on top of the Serbian defender after he scored a later winner as Chelsea climbed to 11th in the table

 
319D28E100000578-0-image-a-26_1456586864683.jpg


Majeruhi yamemuanza na Jumatano tuna game.. [HASHTAG]#majanga[/HASHTAG]

319D2A0C00000578-0-image-a-29_1456587050321.jpg
 
IT WASN'T THE BEST OF PERFORMANCES

319E7B2A00000578-3467139-image-a-104_1456593603761.jpg


Pamoja na ushindi kuna tatizo dogo kwenye eneo la ushambuliaji. Ukiacha Fabregas, pasi nyingi za hawa attacking midfielders wengine zinakuwa kipofu kiasi. Ni kama hawafanyi mazoezi pamoja.

Mikel mimi bado simkubali, hajitesi kama namba yake inavyomtaka! Labda ni umri lakini blocks/tackles anazofanya ni chache mno kwa position anayocheza!

Baba Rahman amefanya kosa ambalo wachezaji wengi wakubwa wamefanya. Namlaumu kipa ambaye amecheza top flight teams muda mrefu sasa kuwa slow kwenda kuziba kosa. Ila pia dogo - labda ni inexperience - alishindwa kuweka hilo nyuma na kuendelea kucheza vyema. Kwa jana, nampongeza Hiddink kwa substitution aliyoifanya. The kid needs to learn.

Sasa nikawaza, kama Kennedy can deputise kama left back kwa nini asitumike mara kwa mara. Ili kutegemea na adui tuwe tunacheza 3-5-2 au kama adui mkali tunarudia yetu 4-2-3-1???? Kocha aangalie performance ya Kennedy jana aone kama hilo haliwezekani!
 
Aiseee!!! Bado tupo njia panda juu ya nani awe kocha wetu.... Recently Conte ndio amekuwa akihusishwa sana na nafasi hiyo ila kwa taarifa niliyoipata ni kwamba jamaa ana skendo na kesi ya kupanga matokeo hivyo hiyo inaweza ikawa sababu ya Abramovich kumpiga chini...... Sasa sijui nani atakuwa kocha wetu
 
Aiseee!!! Bado tupo njia panda juu ya nani awe kocha wetu.... Recently Conte ndio amekuwa akihusishwa sana na nafasi hiyo ila kwa taarifa niliyoipata ni kwamba jamaa ana skendo na kesi ya kupanga matokeo hivyo hiyo inaweza ikawa sababu ya Abramovich kumpiga chini...... Sasa sijui nani atakuwa kocha wetu
issue ya kupanga matokeo haimuhusu coacher mkuu, coacher kazi yake ni kumanage team ipate matokeo mazuri, chaguo letu namba 1 ni simeone, the quest is, does he willing 2 leave his club? conte ni chaguo no 2
 
issue ya kupanga matokeo haimuhusu coacher mkuu, coacher kazi yake ni kumanage team ipate matokeo mazuri, chaguo letu namba 1 ni simeone, the quest is, does he willing 2 leave his club? conte ni chaguo no 2
Aiseee sasa wewe unataka kunichekesha sasa kama kupanga matokeo hakumhusu kocha sasa nani muhusika? Kama utakuwa mfuatiliaji mzuri wa habari basi ungejua kuwa Conte ndio chaguo la kwanza kwa sasa kwani Chelsea wameshakutana na wawakilishi wake.... Na Chelsea watamtangaza officially in 10 days according to reports
 
Aiseee sasa wewe unataka kunichekesha sasa kama kupanga matokeo hakumhusu kocha sasa nani muhusika? Kama utakuwa mfuatiliaji mzuri wa habari basi ungejua kuwa Conte ndio chaguo la kwanza kwa sasa kwani Chelsea wameshakutana na wawakilishi wake.... Na Chelsea watamtangaza officially in 10 days according to reports
role ya team manager ni ipi mkuu? una ushahid kuwa conte alihusika kwenye match fixing, kuhusu conte chaguo la kwanza, sijui simeone zote ni tetesi tu mkuu, chelsea board ndiyo ina awareness na nani mtu sahihi, sisi mashabiki hatujui kitu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom