Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Sijaingia kitambo sana humu,wakuu mpo poa? Sikuumia sana kufungwa 2-1 jana kwa performance ya vijana haikua mbaya sana,

Nina imani darajani hawa psg hawawezi kufurukuta na ndio mwisho wa mbio zao hapo,


KTBFFH
 
Si kweli nategemeaaa PsG kuendeleaaa kumiliki mpiraaa na kupataa goal dk za mwanzoni
Jana PSG walipata goli lao ktk dakika ya ngapi? Ilikuaje walishindwa kupata goli mwanzoni wakiwa kwao na huku kikosi chao kikiwa kamili?

Darajani ndio wataweza wakati sisi tutakua tuna attack Zaidi?
 
Jana PSG walipata goli lao ktk dakika ya ngapi? Ilikuaje walishindwa kupata goli mwanzoni wakiwa kwao na huku kikosi chao kikiwa kamili?

Darajani ndio wataweza wakati sisi tutakua tuna attack Zaidi?
Last season PSG waliwatoa hapo darajani tena wakiwa pungufu,Jana PSG walicheza vibaya usifikiri hata darajani watacheza kama jana
 
Sijaingia kitambo sana humu,wakuu mpo poa? Sikuumia sana kufungwa 2-1 jana kwa performance ya vijana haikua mbaya sana,

Nina imani darajani hawa psg hawawezi kufurukuta na ndio mwisho wa mbio zao hapo,


KTBFFH
Tunaomba waambie wenzio waliojificha warudi
 
Last season PSG waliwatoa hapo darajani tena wakiwa pungufu,Jana PSG walicheza vibaya usifikiri hata darajani watacheza kama jana
Ata msimu ule kabla ya huu wa Jana tuliwatoa PSG Darajani.

Niko online sasaivi unaweza kuniambia ni kwanini PSG Jana walicheza vibaya na kwanini utegemee kua watacheza vzr wakati kikosi cha Chelsea kitakua kimekalika wakati huo?

Naomba Mawazo yako Mkuu na uchambuzi wako.
 
Jana PSG walipata goli lao ktk dakika ya ngapi? Ilikuaje walishindwa kupata goli mwanzoni wakiwa kwao na huku kikosi chao kikiwa kamili?

Darajani ndio wataweza wakati sisi tutakua tuna attack Zaidi?
Jana PSG hawakupata goli la mapema kutokana na defence yenu, jana mlikua vizuri sana upande wa defence, niliona hadi Pedro jana alikua anarudi nyuma kukaba,

Ila game ya marudiano mkienda kwa lengo la kushambulia aisee mtakula nyingi.
 
Jana PSG hawakupata goli la mapema kutokana na defence yenu, jana mlikua vizuri sana upande wa defence, niliona hadi Pedro jana alikua anarudi nyuma kukaba,

Ila game ya marudiano mkienda kwa lengo la kushambulia aisee mtakula nyingi.
Kivipi yani tutakula nyingi wakati ktk DM kutakua na watu wawili Matic na Obi na kuwaacha Faby Hazard na Willian na Costa wakilisakama goli la PSG na huku kwa mbali Matic akiwasaidia na kufanya wachezaji wa Chelsea kua watano mbele na watano nyuma yani watatapakaa kila eneo?

Msiseme tu tutakula nyingi bila kudadavua
 
Ata msimu ule kabla ya huu wa Jana tuliwatoa PSG Darajani.

Niko online sasaivi unaweza kuniambia ni kwanini PSG Jana walicheza vibaya na kwanini utegemee kua watacheza vzr wakati kikosi cha Chelsea kitakua kimekalika wakati huo?

Naomba Mawazo yako Mkuu na uchambuzi wako.
PSG hawakucheza vibaya but walikosa mbinu za kufunga na defence ya Chelsea (TBO,Azpi,Baba,Ivanovic,Cahill ) walicheza vizuri sana,Mashambulizi ya Chelsea huanzia kwa Willian,Cesc,Ivanovic na Azpi jana muda mwingi walikuwa wanazuia ndio maana second half Costa hakuonekana kabisa.
 
Kivipi yani tutakula nyingi wakati ktk DM kutakua na watu wawili Matic na Obi na kuwaacha Faby Hazard na Willian na Costa wakilisakama goli la PSG na huku kwa mbali Matic akiwasaidia na kufanya wachezaji wa Chelsea kua watano mbele na watano nyuma yani watatapakaa kila eneo?

Msiseme tu tukula nyingi bila kudadavua
mkuu matic na ibi hiyo ni away tactic, ukiwapanga hao wawili unairuhusu PSG ku dominate possession, which means they will going to destroy us easily, what must be done there ni we have to let our bull dog out, tufunguke, pale kati asimame matic na fab, Pedro apewe free role for defence matters, na uhakika tukiwa hivi wamekaaa
 
PSG hawakucheza vibaya but walikosa mbinu za kufunga na defence ya Chelsea (TBO,Azpi,Baba,Ivanovic,Cahill ) walicheza vizuri sana,Mashambulizi ya Chelsea huanzia kwa Willian,Cesc,Ivanovic na Azpi jana muda mwingi walikuwa wanazuia ndio maana second half Costa hakuonekana kabisa.


Asante sn Mkuu

Kwa mtazamo wangu ni kwamba PSG walikua wanacheza kwa kuogopa baadhi ya wachezaji km Hazard Willian na Pedro. Ndio maana uliona watu km kina Mota na baadi ya viungo wa kati wa PSG hawakua huru na kuamua kutumia mipara mirefu na kutegemea winga za pembeni kitu ambacho pia hakikufanya kz kwani beki za pembeni za Chelsea muda wote zilikua hazitoki ktk eneo lao.

Kuwepo kwa Pendro na Hazard na Willian ndio sbbu kubwa iliyowafanya PSG wawe butu ktk ushambuliaji.

Next game tegemea kuwaona Chelsea wakicheza kitimu kwa asilimia mia kila idara na kuwapoteza kabisa PSG.

Binafsi sioni nafasi ya PSG kusonga mbele Darajani ata wakija kucheza vipi! Tutaattack sn na kukaba sn na kukata mipira yao yote. Na tegemea kuona kadi nyekundu kwa PSG kwasababu tabia yao ya kucheza rafu kuzuia counter attack kwa Darajani wataumia.
 
mkuu matic na ibi hiyo ni away tactic, ukiwapanga hao wawili unairuhusu PSG ku dominate possession, which means they will going to destroy us easily, what must be done there ni we have to let our bull dog out, tufunguke, pale kati asimame matic na fab, Pedro apewe free role for defence matters, na uhakika tukiwa hivi wamekaaa

Ni sawa lkn kwanini Mimi napendekeza Matic na Obi?

Napendekeza hivi kwasababu kadhaa.

Kwanza PSG pale kati wanaviungo wenye nguvu km watatu hivi na wasumbufu sn wakiongozwa na Motta. Na km unakumbuka Jana hawa viungo walimzidi Faby ingawa na wao walikua wakimuhofia Willian baada ya kupanga dimba la kati. Kwahiyo tunahitaji kuwapanga Matic na Obi km ili kuweza kuwepo na nguvu sawa. Lkn kz ya kukata Umeme itakua chini ya Obi huku Matic akiwa huru kidogo kwa kutembea mbele na nyuma.

Kitu kingine wakipangwa hawa Matic na Obi basi Faby atakua huru Zaidi na kupunguziwa jukumu la ukabaji na kufanya kz ya kushambulia tu. Alkadharika winga zote yani Hazard na Willian watakua hawana jukumu la kukaba sn na kufanya Chelsea ishambulie Zaidi.

Kwa mtazamo huo sioni nafasi ya PSG kumiliki mpira Zaidi ya Chelsea.
 
Asante sn Mkuu

Kwa mtazamo wangu ni kwamba PSG walikua wanacheza kwa kuogopa baadhi ya wachezaji km Hazard Willian na Pedro. Ndio maana uliona watu km kina Mota na baadi ya viungo wa kati wa PSG hawakua huru na kuamua kutumia mipara mirefu na kutegemea winga za pembeni kitu ambacho pia hakikufanya kz kwani beki za pembeni za Chelsea muda wote zilikua hazitoki ktk eneo lao.

Kuwepo kwa Pendro na Hazard na Willian ndio sbbu kubwa iliyowafanya PSG wawe butu ktk ushambuliaji.

Next game tegemea kuwaona Chelsea wakicheza kitimu kwa asilimia mia kila idara na kuwapoteza kabisa PSG.

Binafsi sioni nafasi ya PSG kusonga mbele Darajani ata wakija kucheza vipi! Tutaattack sn na kukaba sn na kukata mipira yao yote. Na tegemea kuona kadi nyekundu kwa PSG kwasababu tabia yao ya kucheza rafu kuzuia counter attack kwa Darajani wataumia.

PSG walitawala pale katikati tatizo lilikuwa link kati ya viungo na forward ndio maana uliona Verrati,Matuidi na Di Maria wote walikuwa wanapiga mashuti ya mbali kipa akaokoa
Ibra alikuwa anakuwa out of position na mara nyingi anakuwa offside ndio maana alivyoingia Cavani tu akafunga.

Hazard ni mzigo kwenye timu naona anataka kuondoka,

PSG wataanza na kikosi na formation ileile but Chelsea lazima itabadilika

1.JT anaweza akarudi so defence itabadilika

2.Je Hiddink atawachezesha Obi na Matic kwa pamoja ?

3.Nani ataanza kati ya Hazard na Oscar ?

Hii game haitakuwa nyepesi kama unavyofikiri na PSG wana viungo ambao wanaweza ku-possess mpira muda mrefu (Verrati,Matuidi,Di Maria)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom