Kama nilivosemaKamoja tayari ila si mbaya
Tunarudisha moja hapa
Kamesharudi tayari PSG wanapumulia mashineKamoja tayari ila si mbaya
Tunarudisha moja hapa
PSG wanawahofia sn Hazard, Willian na Pedro pale mbele ndio maana wanacheza kwa kuvizia snhii mechi kali sana.
Sisi kwetu PSG hawatutishi kamwe, ingekuwa attack attack team leo tungefungwa ila possess possess team hawatuwezi, huyu na Barca hawawezi tutoa msimu huu pamoja na ubovu wetu....Kamesharudi tayari PSG wanapumulia mashine
Obi kafanya kosa tukafungwa na amesawazisha goli pia!
PSG wanawahofia sn Hazard, Willian na Pedro pale mbele ndio maana wanacheza kwa kuvizia sn
nilijua chelsea watazidiwa sana na dk 20 za mwanzo zilinitisha. ila naona lolote linaweza kutokeea.PSG wanawahofia sn Hazard, Willian na Pedro pale mbele ndio maana wanacheza kwa kuvizia sn
Uwe unaongea haya maneno kabla ya mechi sio unasubiri mfunge goliSisi kwetu PSG hawatutishi kamwe, ingekuwa attack attack team leo tungefungwa ila possess possess team hawatuwezi, huyu na Barca hawawezi tutoa msimu huu pamoja na ubovu wetu....
Afu ukiona nimekuja kushangilia chelsea jua kufungwa ni padogo sana
Karibu sana.....Sijaingia siku nyingi humu
Hahahaaaaaaa maneno meeeengiiiii tusikiambiane best......Sisi kwetu PSG hawatutishi kamwe, ingekuwa attack attack team leo tungefungwa ila possess possess team hawatuwezi, huyu na Barca hawawezi tutoa msimu huu pamoja na ubovu wetu....
Afu ukiona nimekuja kushangilia chelsea jua kufungwa ni padogo sana
Hahahaaaaaaa maneno meeeengiiiii tusikiambiane best......