Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea leo mna kibarua kigumu sana...

Ukiangalia vizuri kocha akiweza kupatia pale kati basi kibarua chetu ni kirahisi sana leo.

Hilo ni sambamba na watakaochaguliwa kukaa kati kujitoa kihali na mali...lazima wakae! Hao majamaa ni mishahara mikubwa tu wanalipwa ila ni a collection of magarasa yaliyojiona star huko walikotoka.
 
Ukiangalia vizuri kocha akiweza kupatia pale kati basi kibarua chetu ni kirahisi sana leo.

Hilo ni sambamba na watakaochaguliwa kukaa kati kujitoa kihali na mali...lazima wakae! Hao majamaa ni mishahara mikubwa tu wanalipwa ila ni a collection of magarasa yaliyojiona star huko walikotoka.
Magarasa?
You must be kidding...
 
Ukiangalia vizuri kocha akiweza kupatia pale kati basi kibarua chetu ni kirahisi sana leo.

Hilo ni sambamba na watakaochaguliwa kukaa kati kujitoa kihali na mali...lazima wakae! Hao majamaa ni mishahara mikubwa tu wanalipwa ila ni a collection of magarasa yaliyojiona star huko walikotoka.
hivi kuna kama misimu miwili either mliwatoa au waliwatoa.....
 
Naangalia ma-dm sn maana hapa Yule dogo Ruben na Obi na Faby itabidi wasimame kati kwa nguvu na pia naona uwezekano wa Ivanovich na Cahill kusimama kati then Azpilicueta kurudi beki kulia na Baba kucheza beki kushoto.

Akipanga hivyo timu itakua vzr ingawa tutakua hatuna nguvu sn ktk kushambulia kwasababu tutahitaji msaada sn ukabaji wa Hazard, Pedro au Willian km wakipangwa. Lkn hatutoweza kupoteza.
Kumbe huwa unapatikana humu?
 
Ukiangalia vizuri kocha akiweza kupatia pale kati basi kibarua chetu ni kirahisi sana leo.

Hilo ni sambamba na watakaochaguliwa kukaa kati kujitoa kihali na mali...lazima wakae! Hao majamaa ni mishahara mikubwa tu wanalipwa ila ni a collection of magarasa yaliyojiona star huko walikotoka.
 
313C1E2300000578-0-Baba_Rahman_faces_a_challenge_containing_the_Argentine-a-127_1455573344487.jpg
[/SIZE][/FONT]

Huyu dogo ni mzuri wakati timu ikishambulia ila naona kama anapitika kirahisi, sijui ni uzoefu.

ndio napoanza kummis Zouma angeniwekea Ibra kwnye wallet.

wachezaji wanatakiwa wawe makini sana na mipira ya kona.
 
hivi kuna kama misimu miwili either mliwatoa au waliwatoa.....

09/03/2016 UEFA Champions League 2015/2016 Chelsea vs PSG

16/02/2016 UEFA Champions League 2015/2016 PSG vs Chelsea

11/03/2015 UEFA Champions League 2014/2015 Chelsea 1 - 1 PSG

17/02/2015 UEFA Champions League 2014/2015 PSG 1 - 1 Chelsea

08/04/2014 UEFA Champions League 2013/2014 Chelsea 2 - 0 PSG

02/04/2014 UEFA Champions League 2013/2014 PSG 3 - 1 Chelsea

22/07/2012 Club Friendlies 2012 [N] PSG 1 - 1 Chelsea

24/11/2004 UEFA Champions League 2004/2005 Chelsea 0 - 0 PSG

15/09/2004 UEFA Champions League 2004/2005 PSG 0 - 3 Chelsea
 
09/03/2016 UEFA Champions League 2015/2016 Chelsea vs PSG

16/02/2016 UEFA Champions League 2015/2016 PSG vs Chelsea

11/03/2015 UEFA Champions League 2014/2015 Chelsea 1 - 1 PSG

17/02/2015 UEFA Champions League 2014/2015 PSG 1 - 1 Chelsea

08/04/2014 UEFA Champions League 2013/2014 Chelsea 2 - 0 PSG

02/04/2014 UEFA Champions League 2013/2014 PSG 3 - 1 Chelsea

22/07/2012 Club Friendlies 2012 [N] PSG 1 - 1 Chelsea

24/11/2004 UEFA Champions League 2004/2005 Chelsea 0 - 0 PSG

15/09/2004 UEFA Champions League 2004/2005 PSG 0 - 3 Chelsea
1455622790700.jpg
 
Huyu dogo ni mzuri wakati timu ikishambulia ila naona kama anapitika kirahisi, sijui ni uzoefu.

ndio napoanza kummis Zouma angeniwekea Ibra kwnye wallet.

wachezaji wanatakiwa wawe makini sana na mipira ya kona.

Leo tutampa kazi Baba Rahman kumweka mfukoni Di Maria...
 
09/03/2016 UEFA Champions League 2015/2016 Chelsea vs PSG

16/02/2016 UEFA Champions League 2015/2016 PSG vs Chelsea

11/03/2015 UEFA Champions League 2014/2015 Chelsea 1 - 1 PSG

17/02/2015 UEFA Champions League 2014/2015 PSG 1 - 1 Chelsea

08/04/2014 UEFA Champions League 2013/2014 Chelsea 2 - 0 PSG

02/04/2014 UEFA Champions League 2013/2014 PSG 3 - 1 Chelsea

22/07/2012 Club Friendlies 2012 [N] PSG 1 - 1 Chelsea

24/11/2004 UEFA Champions League 2004/2005 Chelsea 0 - 0 PSG

15/09/2004 UEFA Champions League 2004/2005 PSG 0 - 3 Chelsea

kwa hii historia, PSG ni wake zetu. kama walivyo Arsenal.
 
Ushindi wetu leo hiii

4-2-3-1:
Courtois | Baba, Cahill, Ivanovic, Azpilicueta | Mikel, Fabregas | Hazard, Oscar, Willian | Costa




Nawaza tu: Hivi Kennedy hawezi kucheza left back? He has the pace and attacking mind...
 
Breaking news: deal done
New manager of Chelsea next season is...........,..............diego simeone
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom