Msigazi Mkulu
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 4,186
- 3,418
Hapo kama hataki ni sawa, ila kikosi cha chelsea kinaitaji kocha mtulivu kama huyo Hiddink au Ancelot kwa sababu wana uwezo mkubwa wa kumanage wachezaji na kwenye vyumba kubadilishia jeziHuyo si alikua wa muda hidink mwenyewe hataki kua kocha wa kudumu