Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ha ha ha ha jamaa kuwa na huruma dah.....Pulis, big sam na Harry Redknapp ndo experts wa kuokoa Relegation scare....
Wachezaji wa Chelsea karibia wote wamekuwa average,kina Pulis wanaweza ku-motivate average players.Kocha atakayekuja atakuwa na kazi ngumu mno
 
Ss hawa na kikosi chao kilivyo "BORA" inakuaje matokeo yanakataa,yanakua magum?
Ndio hapo ss tutajua kua kuna muda ni "UPEPO" tu unatakiwa uwakukubali na c ufundi au ubora wenu
 
Way offside...Rent boys doing what Rent boys do....buying matches
Wengi wanakua wanacheza na atmosphere in the stadium. Chelsea fans walikua wanashangilia kwa nguv dakika iyo ref ikabid aendelez
Halaf gol ni clear offside
 
Goli limeingia dk ya 97.53 nyie mnasema refa ameongeza muda!hivyo hazikutimia nane kipindi goli linaingia!
Dakika zilizokuwa zimeongezwa zilikuwa saba. Ina maana kama mpira kuisha, ulipaswa kuisha na dakika 97.00
 
Nani anasema JT alikua offside acheni wivu,kwiii kwiiii usiniulize huo mstari mwekundu nimeutoa wapi wewe niamini mimi kua haujapinda.
ImageUploadedByJamiiForums1452974496.331692.jpg
 
Mnatengeneza hadi picha,hii ndio original picha hata Hiddink amekiri JT alikuwa offside
 

Attachments

  • 1452977675555.jpg
    1452977675555.jpg
    99.4 KB · Views: 39
Wachezaji wa Chelsea karibia wote wamekuwa average,kina Pulis wanaweza ku-motivate average players.Kocha atakayekuja atakuwa na kazi ngumu mno
Walifanya kosa kubwa sana wachezaji kumgomea Mourinho, walitengeneza mazingira ya timu zingine kuondoa ile fear factor ya kucheza na chelsea! Sasa hivi timu inaenda darajani HAISAKI DROO, inasaka pts tatu maana wanaona chelsea sasa ni timu ya kawaida, mgomo umesaidia timu kuondoa fear factor ya darajani enzi hizo kuwa ukikanyaga ni lazima uchezee! Nakumbuka msimu fulani hata kufunga goli moja tu pale darajani ilikuwa ni shida!
 
Hiddink anakubali JT alikuwa offside
 

Attachments

  • 1452978468876.jpg
    1452978468876.jpg
    51.8 KB · Views: 30
Dakika zilizokuwa zimeongezwa zilikuwa saba. Ina maana kama mpira kuisha, ulipaswa kuisha na dakika 97.00
Roberto Martinez: Everton boss feels 'pure anger' at Terry goal
Everton boss Roberto Martinez said he was feeling "pure anger" after his side were denied victory by a controversial 98th-minute Chelsea equaliser.
John Terry was a yard offside when he salvaged a point for Chelsea in a pulsating 3 -3 draw at Stamford Bridge.
Martinez, whose side were leading 2-0 and 3-2, said the officials had made two "major errors" as Terry's goal came after the allocated seven minutes of added time.

"Seven minutes of injury time, the last action happens in 97 minutes 51 seconds and John Terry is two yards offside.

"There is no explanation. It's a big, big error.

Martinez furious at offside Terry goal
 
Nonda naomba niijue timu yako maana kutwa kutukebei tutajie na we yako tujue uko wodi gani
Mimi napata matibabu hospitali ya rufaa wodi nambari 14.

Ukiwaona ndugu zangu, Ntuzu na kalou wakaazi wa daraja bovu uwambie niko huku nauguza maumivu ya kupapatua kushuka daraja. Wambie wasinisahau bana wakati hii ya shida.
 
Tumepata sare ila kiukweli tumebebwa sana mpira ulikuwa umeisha na goli ni offside hahahahahaha tutashuka tu daraja hakuna namna
 
Tumepata sare ila kiukweli tumebebwa sana mpira ulikuwa umeisha na goli ni offside hahahahahaha tutashuka tu daraja hakuna namna
Hashuki mtu daraja, top 4 hatuingii ila kushuka daraja sio kitu rahisi especially kwa kikosi tulichonacho
 
"Sometimes it's in our favour, I've seen it. Oscar touched the ball and John was offside but he made a beautiful goal."
 
WRATH OF CHELSEA SERIES ( REVENGE ON ALL TEAMS THAT BEAT US FIRST HALF OF SEASON):
- Crystal Palace ( Jan 3) ✔
- Everton ( Jan 16) ●
- Southampton ( Feb 27)
- Stoke ( Mar 5)
- Liverpool ( Mar 12)
- West Ham ( Mar 19)
- Man City ( Apr 16)
- Bournemouth ( Apr 23)
- Leicester City ( May 15)


✔ = Victory
● = Draw
✘ = Defeat
 
WRATH OF CHELSEA SERIES ( REVENGE ON ALL TEAMS THAT BEAT US FIRST HALF OF SEASON):
- Crystal Palace ( Jan 3) ✔
- Everton ( Jan 16) ●
- Southampton ( Feb 27)
- Stoke ( Mar 5)
- Liverpool ( Mar 12)
- West Ham ( Mar 19)
- Man City ( Apr 16)
- Bournemouth ( Apr 23)
- Leicester City ( May 15)


✔ = Victory
● = Draw
✘ = Defeat

It is good that you have brought this yourself....don't touch that dial
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom