Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wewe vipi?
Huu ni msimu wa Ze bluuz kutetea ubingwa wao. Msimu ndio umeanza sasa. Hii ni January. Vipi weweee?. Yokohama nafasi yake ni 1 au 2.
Hakuna kukata tamaa, come on Yoko!
Kuna ile ndugu ya Yaya ilikuwa inasema: Mind the gap!
Wewe hukuona cech pia alivyotunguliwa na majogoo ya Mafyalale kafalale. Kocha wa majogoo alifurahi kama ameshinda mechi.
Nonda naomba niijue timu yako maana kutwa kutukebei tutajie na we yako tujue uko wodi gani
 
Nonda naomba niijue timu yako maana kutwa kutukebei tutajie na we yako tujue uko wodi gani
Mimi timu zangu ziko kwa mafungu. Ni nyingi , ambazo haziko kwenye orodha ni Yokohama, Man City, Man United, Chenga twawala-wapigwa mizinga, Majogoo, Orodha ya timu zangu zinakuwa updated kila msimu, Za msimu huu uliza Ntuzu, Mentor, Everlenk watakusaidia.
Aston Villa, West Ham, Newcastle, Crystal Palace, Leicester
 
WHAT ARE YOUR SCORE PREDICTIONS....!??

CY2IlPBWYAABI9U.png
 
Team to face Everton: Courtois; Ivanovic, Zouma, Terry (c), Azpilicueta; Mikel, Matic; Willian, Fabregas, Pedro; Diego Costa. #CFC

Today's subs: Begovic, Baba, Cahill, Loftus-Cheek, Kenedy, Oscar, Remy. #CFC
 
Mikel ameshaonesha weakness...amesahau yupo pale kama defensive midfielder...ila anakimbia kama kafungiwa trailer nyuma.
 
Hii gemu ni yetu so far...smart sub zinahitajika kubadili game. Nawaza nafasi za Pedro na Mikel zibadilishwe na;

Loftus Cheek/Ramires for Mikel

Kennedy for Pedro.
 
Game ikienda vyema tunaweza muweka Remmy wawe strikers wawili. Ila hiyo pair ya Matic na Mikel haiendi kabisaaaaa...
 
tatizo la Hiddink kusoma game kwake tatizo, sasa unacheza na everton upo home unaweka holding midfielders 2...tukijitahidi draw hii game
 
Asante Terry kwa kufunga oooops kujifunga kwiiii kwiiii wanalivunja daraja wenyewe.
 
Lukaku amekusanya kijiji na kutoa pande kwa jamaa, jamaa anangusha fataki golini beki kikongwe Terry anajifunga.
 
Hili lilikuwa la pili kama sio mwamba wa kulia kusaidia uokoaji. Maskini wana mieleka wanashuka daraja hawa.
 
Kweli Chelsick....mtu anapewa pasi akiwa katikati ya beki wawili wote mpira unawapita jamaa anachukua anageuka anafunga goli zuuuuri beki wakitazama.
 
Goli tamu kama goli la nyeto

Yaani mtafungwa mpaka mtueleze umri sahihi wa bondia diego costa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom