Abromovich kafanya tabia za kirusi kwa Refa hii pia katika zile game za 3-3 game of the season ILA upendeleo WA nguvu angefunga mchezaji Si muengereza lingekataliwa ILA Ni Terry kisheria za waamuzi linatakiwa kukubalika.Way offside...Rent boys doing what Rent boys do....buying matches
Huna haja ya kusikitika kuumiza kichwa NA Chelsea hao wanaumiza kichwa NA Aston Villa walichobakia kwao kusajili waamuzi.Dah wamechomoa
Hahaha Villa timu ya ciphaheadz...Huna haja ya kusikitika kuumiza kichwa NA Chelsea hao wanaumiza kichwa NA Aston Villa walichobakia kwao kusajili waamuzi.
Tehteh Cipha alikiwa anaenda game za Westbrom kesho weka 3-1Hahaha Villa timu ya ciphaheadz...
Dah Chelsea wamebebwa leo
Kesho vipi kwanza ... nikaweke hela wapi?
Jamani kuweni na huruma kidogo, hii point moja walioipata leo ndio itakayo wanusuru kushuka darajaRefa ms.ngeeeee dakika zilishaisha...
At 8min added time what a shame refa kalipwa khe khe keh khe kama kawaida yao kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee aibu! Clear offside.
Way offside...Rent boys doing what Rent boys do....buying matches
Refa kachezesha dakika 100. Aibu hii
3 - 1 away win sio ? lolTehteh Cipha alikiwa anaenda game za Westbrom kesho weka 3-1
Haaa haaa kapasia mbili leo hataki utani.Terry man of the match
Hiyo haibadilishi ukweli kuwa mfungaji alikuwa off-side kwa hiyo mwamuzi na mshika kibendera wake waliamua tu kuibeba kwa mbeleko Yokohama.Goli limeingia dk ya 97.53 nyie mnasema refa ameongeza muda!hivyo hazikutimia nane kipindi goli linaingia!
Yaani mpira shenzi saana,inafika mda droo unaisaka kwa hali na Mali.
Yaani Leo hii Chelsea amekua wa kustruggle droo home darajani?
Kweli kuna mda mambo yanakataa tu
Hiyo haibadilishi ukweli kuwa mfungaji alikuwa off-side kwa hiyo mwamuzi na mshika kibendera wake waliamua tu kuibeba kwa mbeleko Yokohama.
Ha ha ha ha jamaa kuwa na huruma dah.....Pulis, big sam na Harry Redknapp ndo experts wa kuokoa Relegation scare....Hii timu mlipaswa kumpa Tony Pullis au Big Sam hawa ndio mabingwa wa kuokoa timu isishuke daraja huyu Hiddink hana tofauti na Mourinho