Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

6191_1675438352496374_3697066832536774012_n.jpg



Maisha ni kujibambaaaa....
 
HAHAHAHAHAHA!..... NAJISIKIA KUCHEKA NILIPOINGIA HUMU... HAHAHAHAHAHAHAHA!

14TH! OPPS!!

MENTOR HESHIMA YAKO MKUU
 
HAHAHAHAHAHA!..... NAJISIKIA KUCHEKA NILIPOINGIA HUMU... HAHAHAHAHAHAHAHA!

14TH! OPPS!!

MENTOR HESHIMA YAKO MKUU


Chelsea 2016:
Scored 3
Conceded 0

Arsenal 2016:
Scored 1
Conceded 0

Mdogomdogo...
 
mourniho vs benitez kwenye whatsaap
 

Attachments

  • 1452089376024.jpg
    1452089376024.jpg
    34 KB · Views: 28
Chelsea 2016:
Scored 3
Conceded 0

Arsenal 2016:
Scored 1
Conceded 0

Mdogomdogo...
Mdogo mdogo.... Ntuzu iko hapa?
Mourinho anarudi Ze bluuz March ili kuhakikisha ubingwa unabakia daraja bovu.

Heshima baina ya makocha imerudi across Epl, kukumbatiana na mabusu kedekede, handshakes za nguvu, sio kama zile za Mou na mipasho yake.

Inafurahisha kuona Chelsea wameanza kucheza mpira, ingawaje walikuwa pia wanaruka karate dhidi ya Crystal Palace.

Media imeanza kumtekenya Pellegrini.

Habari ingine inasema Aston Villa wanamtaka Mourinho ili asaidie hii timu isishuke daraja.
Mimi ningependa kumuona Mou huko ili athibitishe kuwa yeye ni kocha wa miujiza.
 
Mdogo mdogo.... Ntuzu iko hapa?
Mourinho anarudi Ze bluuz March ili kuhakikisha ubingwa unabakia daraja bovu.

Heshima baina ya makocha imerudi across Epl, kukumbatiana na mabusu kedekede, handshakes za nguvu, sio kama zile za Mou na mipasho yake.

Inafurahisha kuona Chelsea wameanza kucheza mpira, ingawaje walikuwa pia wanaruka karate dhidi ya Crystal Palace.

Media imeanza kumtekenya Pellegrini.

Habari ingine inasema Aston Villa wanamtaka Mourinho ili asaidie hii timu isishuke daraja.
Mimi ningependa kumuona Mou huko ili athibitishe kuwa yeye ni kocha wa miujiza.
Sasa mourinho athibitishe mara ngapi, hana la kuthibitisha maana alishafanya hivyo na Porto.. Mbona hamumsemi mrembo guadiola anayekimbilia timu bora kama sasa anaitaka man city maana ameona ina muelekeo kama yeye mwanaume aje darajani lakini najua ni muoga hawezi fanya hivyo
 
Sasa mourinho athibitishe mara ngapi, hana la kuthibitisha maana alishafanya hivyo na Porto.. Mbona hamumsemi mrembo guadiola anayekimbilia timu bora kama sasa anaitaka man city maana ameona ina muelekeo kama yeye mwanaume aje darajani lakini najua ni muoga hawezi fanya hivyo
Porto ni sawa na Aston Villa?
Mou akachukue Aston Villa bana na yule Kocha wa Aston Villa, Remi Garde ndio aje daraja bovu.
Unamtaka Pep Guardiola Darajani? Kwa nini hutaki aende Man. City?
Daraja limepata mkarabati mzuri tu. Ameanza na Ze bluuz haijapoteza mchezo bado, Aendelee tu, Mzee Guus Hiddink kulikarabati daraja, tena apewe miaka 5.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom