Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

2FC4DD0C00000578-3382760-Oscar_celebrates_in_front_of_the_Chelsea_supporters_after_his_Br-m-13_1451837788876.jpg
 
Jamani mimi ngeni hivi tupo nafasi ya ngapi kwenye EPL! Nsaada tutani.
 
Nilikua angry kama klopp sikupata muda mkuu
Klopp ni mzuri, lakini ligi aliyokuwa amezoea ni ya Ujerumani, EPL ngoma kubwa kwake, timu zote hivi sasa wanapata pesa nzuri tu za TV, angalia Everton walivyokataa kumuuza Stones kama sikosei, miaka miwili ya nyuma angeondoka. Pressure ipo kutoka kwenye media, mashabiki na wenye mali. Bila kusahau media inayotaka kukupangia timu. Yaani ukienda mfululizo ukapoteza mechi tatu nne upo matatani. Licha ya hivyo mbinu chafu ambazo zinatumiwa na baadhi ya clubs etc. Kwa mtazamo wangu Klopp utakuja niambia mwakani atakapowafikisha. Usije kulialia tu humu , kumbuka BR hakuomba kazi kwenu mlikwenda wenyewe kumsaka na ahadi kede kede
 
...but do I say..na Drogba anarudi kama kocha msaidizi...Giggs vs Drogba...hahaha

11204486_1674631245910418_5101655550664594406_n.png
 
2FC4D2E700000578-3382760-Oscar_steered_Guus_Hiddink_s_Chelsea_side_into_the_lead_away_aga-m-2_1451837596515.jpg


Oscar steered Guus Hiddink's Chelsea side into the lead away against Crystal Palace after 28 minutes in the Premier League match

 
2FC4BCCB00000578-3382760-image-a-20_1451833096876.jpg


Willian then sent a thunderous strike crashing into the top corner from the edge of the area on the hour mark for Chelsea

 
2FC4C29F00000578-3382760-image-a-23_1451833620608.jpg


Striker Costa (left) then capped an impressive display for Chelsea by scoring from close range after Wayne Hennessey spilled the ball

 
GET WELL SOON HAZARD...

2FC48CB900000578-0-image-a-99_1451829180522.jpg


Club itatoa mrejesho baadaye leo juu ya hali yake...hope it wasn't thast serious!!!
 
SPECIAL MENTION:

2FC4B1FF00000578-3382760-image-m-16_1451832274540.jpg


2FC4F0D700000578-0-image-a-156_1451841986641.jpg


HAWAHITAJI MAELEZO...OVER EXCEPTION PERFORMANCE...
 
Klopp ni mzuri, lakini ligi aliyokuwa amezoea ni ya Ujerumani, EPL ngoma kubwa kwake, timu zote hivi sasa wanapata pesa nzuri tu za TV, angalia Everton walivyokataa kumuuza Stones kama sikosei, miaka miwili ya nyuma angeondoka. Pressure ipo kutoka kwenye media, mashabiki na wenye mali. Bila kusahau media inayotaka kukupangia timu. Yaani ukienda mfululizo ukapoteza mechi tatu nne upo matatani. Licha ya hivyo mbinu chafu ambazo zinatumiwa na baadhi ya clubs etc. Kwa mtazamo wangu Klopp utakuja niambia mwakani atakapowafikisha. Usije kulialia tu humu , kumbuka BR hakuomba kazi kwenu mlikwenda wenyewe kumsaka na ahadi kede kede

Hahahaha suala LA kulia mkuu halipo nina imani na Klopp kwa asilimia mingi kwanza anaanza kutupeleka Wimbledon bila shaka yoyote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom