Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mourinho once called Ranieri too old and
Wenger a failure. Mourinho looked older
than Ranieri and is definitely failing.
 
...
Nothing to lose today.......

Ulishaona nimekua najiamini kwa timu yangu kaa muda uliopita km hivi sasa?

Sasa fahamu mambo yote yako pouwa na inakua win win win tu mpk February......
Kadai mapesa yako uliyompatia huyo mnajimu.
Bado unajiamini baada ya Vady na Mahrez kukuweka manundu? Nilikwambia uvae likofia kama la Cech na umefanya ukaidi,sasa ona walivyokuharibu sura.

Ze Yokohama ina roho ngumu inachezea vipigo lakini haiendi kule 18-20. Anga zenu zimekuwa 17-14.
Mlicheka watu sana msimu uliopita..by the way, Mind the gap!
 
Shikamoo mfungwa. Ze bluuzzziii mmeshazoeza sasa . Kila timu inawaweka manundu na naomba mnikumbushe mpo nafasi ya ngapi?

Ntuzu umemsikia Mou leo kwa mara ya kwanza amekiri kuwa amefungwa kihalali ,amefuta kauli ya "fake results".

Sio tu kwamba amekiri amefungwa lakini amesifia uchezaji wa Leicester na pia alikwenda "kumbusu" Ranieri na kuonesha heshima kwa mara ya kwanza tokea msimu huu uanze. Sasa Mou ataweza kushinda kuanzia mechi inayofuata. Ameanza kuonesha heshima na amerudi chini kidogo. Vipigo vinafundisha heshima.

Dr. Eva jitokeze ili uwapatie " matibabu" wachezaji wa Ze Yokohama.

BBC Sport - Chelsea 2-0 Porto: Everybody wants to play us - Mourinho

Mentor, Tenda imetimizwa ile mimi nimependa na sio kama nilivyoagiza.

Uguza maumivu, pole kwa kipigo...aaaahhh wapigwe tu hakuna namna ingine - Pinda

BBC Sport - Leicester City 2-1 Chelsea

The best keeper in the world allowed 2 goals in today and Hazard, Costa and Remi could not respond, so sad! teh teh, kwi kwiii, khe kheeeee.

Mkuu bado kawalaumu ball boys
 
The last time Chelsea lost 9+ of their
opening 16 games in the top-flight was
1978-79.
They were relegated.
 
Hongereni wote msioitakia Mema the Blues, naona malengo yenu yanatimia, sisi kama Chelsea tunajua tatizo liko wapi na haya pia yataisha na tutarejea kwenye ubora wetu

hongereni sana
Kituko wacha vituko.

Hongera sisi haitusaidii, ni afadhali tumpeni nyinyi hongera kwa kulazimisha malengo ya wasioitakia mema ze blauzii yatimie.

Tatizo au matatizo?

Mourinho amesema yeye hajui tatizo ni nini?
Anachokiona uwanjani ni wachezaji wake wanafanya ubishoo tu uwanjani, kujiangusha angusha na kukimbia hovyo hovyo.

Hebu kama tatizo unalijua ,tudokeze na sisi.
Tatizo ni nini?
Au matatizo ni yepi?
Kwa nini the blues imegeuka ze blauz?
 
Mkuu bado kawalaumu ball boys
Afadhali amepiga hatua mbele,zamani alimtupia lawama Wenger kila Chelsea ilipochezea kibano. Wenger akaziba masikio na media zikaanza kumbana Mou.

Mou bana. ..Msimu uliopita alisema zilaumiwe timu zilizoiachia Chelsea ikae kileleni muda wote.

Sasa ndio ule msemo wa "wanaisoma namba".
 
Na mtoa tenda ni Nonda...lazima ikuchachie.
Mentor
Posted at
"Perfect!" is what I'd imagine Claudio Ranieri is saying in this wonderful image below.
Who'd have thought a year ago that Ranieri's Leicester would be top of the Premier League and Mourinho's Chelsea scrapping around at the bottom.
Not me. And probably not these two blokes. Leicester go to Everton next weekend aiming to stay top at Christmas, while Chelsea host Sunderland in a *cough cough* relegation battle.
Until then...arrivederci!

Ntuzu, Mentor, Kalou, Kituko


[h=3]Not for sale[/h]Leicester 2-1 Chelsea

Any clubs eyeing up Riyad Mahrez and Jamie Vardy had better think again. Why? Because Leicester manager Claudio Ranieri says so,
"No-one can buy Vardy or Mahrez in January," says the Italian. "They don't have the money and they don't have a price."

Ntuzu, Enzo


[h=3]Ashamed Mourinho targets top six[/h]Leicester 2-1 Chelsea


With Chelsea already 14 points behind fourth-placed Manchester United, Jose Mourinho has been forced to adjust his expectations.
"We can't finish top four, but we can still finish top six because so many teams are dropping points," he tells BBC Sport. "But at the moment we're in a zone where I feel ashamed."

Premier League: Leicester City v Chelsea - BBC Sport












 
Mourinho anataka aishushe kwanza timu daraja ndio aikimbie,kulinda heshima yake asisubiri kufukuzwa bora aondoke mwenyewe
 
Kuna wachezaji wako vizuri sana

cc Ntuzu
 

Attachments

  • 1450152667700.jpg
    1450152667700.jpg
    23.7 KB · Views: 180
Last edited by a moderator:
Mourinho anataka aishushe kwanza timu daraja ndio aikimbie,kulinda heshima yake asisubiri kufukuzwa bora aondoke mwenyewe

Kwa hali ilivyo wanatakiwa kufukuzwa ni wachezaji, hawana weledi, ole wao Mourinho afike January.
 
Ndiyo maana kibaka siku hizi akikuta jezi ya the blues imeanikwa anaiba vibanio jezi anaacha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom