Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Poleni sana, huwezi amini kama ni chelsea iliyochukua kombe msimu uliopita dah!!
 
Wakuuu naomba kujulishwa matokeo ya jana ya chelsea....
 
NEXT WEEK RELEGATION FIGHT 💪🏼

?Chelsea Vs Sunderland

It is Arguebly worst Season since the Chelsea was Found in 2003 !!! What a season!!

😂😂😂
 
Wakuuu naomba kujulishwa matokeo ya jana ya chelsea....
uploadfromtaptalk1450157261462.png
 
Hata hospital madaktari wanaposhindwa kuona maradhi ya mgonjwa humshauri aende kifanya matibabu ya kiswahili na mii huu ni ushauri wangu kwa the blues mrudisheni yule demu eva mungu nae hua anasikia dua za waja wake yule demu mourinho alimdhalilisha ipo haja ya kumuomba radhi na arejee katika timu huu ni ushauri nasaha .


Wewe mpaka Karne hii bado una mawazo ya Zama za Mawe? Stone age!!
 
Kwa hali ilivyo wanatakiwa kufukuzwa ni wachezaji, hawana weledi, ole wao Mourinho afike January.
Huwezi ukafukuza wachezaji wote Jose alishafanya kazi yake nzuri hapo Chelsea but now hata akipewa muda zaidi atazidi kupunguza heshima yake.Chelsea sasa inahitaji kocha wa muda mrefu na Jose hawezi hicho kitu
 
Huu uongo sasa, Chelsea imeanza 2003 baada ya Abramovic :-D

Chelsea imeanza 2003 baada ya Abramovic? Ina maana kabla ya 2003 hakukuwa na timu inaitwa Chelsea?

Au ni mimi cjaelewa,naomba nieleweshwe.
Kumbukumbu zangu zinaonyesha kuwa chelsea FC founded in 1905 na mwaka 1997 they won europa winners cup against VfB Stutigat,a goal scored by Gianfranco Zola.
 
Chelsea imeanza 2003 baada ya Abramovic? Ina maana kabla ya 2003 hakukuwa na timu inaitwa Chelsea?

Au ni mimi cjaelewa,naomba nieleweshwe.
Kumbukumbu zangu zinaonyesha kuwa chelsea FC founded in 1905 na mwaka 1997 they won europa winners cup against VfB Stutigat,a goal scored by Gianfranco Zola.

Chelsea found in 2003 and will die in 2016 ....Rest in Peace Chelsea, You go where you belong Top 10....

khe khe khe khe kheeeeeeee
 
Chelsea imeanza 2003 baada ya Abramovic? Ina maana kabla ya 2003 hakukuwa na timu inaitwa Chelsea?

Au ni mimi cjaelewa,naomba nieleweshwe.
Kumbukumbu zangu zinaonyesha kuwa chelsea FC founded in 1905 na mwaka 1997 they won europa winners cup against VfB Stutigat,a goal scored by Gianfranco Zola.

You didn't understand the banter
 
We will come back soon haya ni mapito tu ya kitambo kidogo. Tutarudi kwenye ubora wetu sooner na mtatupenda tu just keep on waiting. Hakuna kukata tamaa mbele kwa mbele na Mou wetu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom