We will come back soon haya ni mapito tu ya kitambo kidogo. Tutarudi kwenye ubora wetu sooner na mtatupenda tu just keep on waiting. Hakuna kukata tamaa mbele kwa mbele na Mou wetu.
Tumefiwa na member mwenzetu...!
Kituko wacha vituko.
Hongera sisi haitusaidii, ni afadhali tumpeni nyinyi hongera kwa kulazimisha malengo ya wasioitakia mema ze blauzii yatimie.
Tatizo au matatizo?
Mourinho amesema yeye hajui tatizo ni nini?
Anachokiona uwanjani ni wachezaji wake wanafanya ubishoo tu uwanjani, kujiangusha angusha na kukimbia hovyo hovyo.
Hebu kama tatizo unalijua ,tudokeze na sisi.
Tatizo ni nini?
Au matatizo ni yepi?
Kwa nini the blues imegeuka ze blauz?
Mwamuzi amefuta mechi na matokeo yake baada ya Mou kukubali kuwa amefungwa kihalali,itarudiwa baada ya X-mas.Wakuuu naomba kujulishwa matokeo ya jana ya chelsea....
Mimi naangali mechi za timu moja tu ambayo ndio kubwa Ze Yokohama,Zingine ndio zinajitahidi kukua nasubiri nazo ziwe kubwa ndio nitaanza kuangalia mechi zao.Unless wewe sio mtu wa Mpira, lakini kama kweli wewe ni mtu wa Mpira na huwa unaangalia mechi zote za EPL hasa timu kubwa zikiwa zinacheza wala usingeniuliza tatizo la Chelsea liko wapi,
Lakini kwa kifupi tu, Chelsea haina tatizo la kocha, Mourinho bado ni kocha sahihi kwa Chelsea
Mimi naangali mechi za timu moja tu ambayo ndio kubwa Ze Yokohama,Zingine ndio zinajitahidi kukua nasubiri nazo ziwe kubwa ndio nitaanza kuangalia mechi zao.
Epl ina timu moja tu kubwa, Ze bluuzzz.
Chelsea haina tatizo lolote, haina tatizo la kocha, haina tatizo la pesa, haina tatizo la wachezaji, haina tatizo la kumkosa Dr. Eva.
Tatizo liko kwa timu zinazocheza na Chelsea. Tatizo lao ni kuwa zimejiwekea mkakati wa kuifunga Chelsea ili kumfundisha Mou heshima na kumkata mdomo.
Wewe kweli Kituko.Kumbe tatizo unalijua, hongera zako mwana Blues
Eden Hazard ameamua kupunguza "dark art" yake anapokuwa uwanjani.Ni nani anayemsaliti "the special one" ? ? ? ......