lusako nyatu
New Member
- Dec 5, 2015
- 3
- 1
Aloooooo hali yenu cyo nzuri kbsa japo uefa mnafanya vzr.
Safari hii Laurant Blanc hana chake.....
Mbona umejihami kwamba mnashinda? Kwani mimi nimeongea mnashindwa ? Mbona una haraka kama unaoga nje???......maliza maneno yote tuonane usiku.....
Mbona umejihami kwamba mnashinda? Kwani mimi nimeongea mnashindwa ? Mbona una haraka kama unaoga nje???......maliza maneno yote tuonane usiku.....
Hao PSG wetu tu
Safari hii Laurant Blanc hana chake.....
Me nasubiri tu nione ushujaa wenu .... Piganeni tena muungie uefa mwakani kama mabingwa watetezi maana huku EPL hata top 8 ni hati hati kwenu
Hao PSG wetu tu
Nilikua nawatamani sana nyie, mkibahatisha kuvuka kwa hao Wafaransa mtatukuta njia panda tunawasubiria kwa hamu zoote
Leo au? Yani hilo sahau kabisa....
Naenda kushusha kipondo cha nguvu pale King Power stadium leo.....
Unajitutumua hapa jamvini lakini moyoni umefyata mbele ya hao Mbweha, nasubiria mtanange wa Azplicueta na Mahrez
Subiri uone....
Au nije kisiju tuangalie mpira wote chini ya minazi?
Kwa kwa kwa kwa kwaaaa
Yaani na wewe ukiitwa baby humu jamvini unajibebisha kwelikweli? Teh teh teh
Jiandae kisaikolojia kupokea kipigo cha mbwa mwizi hapo baadae
Nipe raha mpenzi nipe raha,nipe raha nami nikupe zanguuuu.......Teh teh teh, nimemleta sweetheart everlenk huku Mvuti kuona mashamba yetu mengine ya minazi, machungwa na maembe, nahisi na game tutaangalizia hukuhuku,
game saa ngapi wadau?